Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

hivi kuna watu huwa wana zaliwa na muonekano huo outomatic...sikuwa nalijua hilo aisee kuna mmoja sehemu ukipiga nae picha huwezi dhania kuwa ni gay. ni mzuri kama mwanamke na ametakata vibaya mno shepu anayo na anajua kupangilia mavazi ya kikike yaka mkaa vyema...! huyu ninae mzungumzia usipo mfahamu na yeye asipo kwambia jinsia yake moja kwa moja unaweza kudhani ni mwanamke..!​
Lakini still ni mwanaume. Huyu anajikiza tu na kutaka kuonewa huruma. Kuruhusu kupigwa pipe ndio kosa lake na kataka mwenyewe aache kujiliza na kusema alikuwa ana muonekano wa kike na kuhukumiwa. Wangapi wanahukumiwa ila hawaruhusu kupigwa pipe au kufanya kwa kile wanachohukumiwa na jamii.
 
Hahaaaaa, mwaka jana hukulipwa posho ya nanenane nikawa nakuona pale Mbeya pazuri ukijichekesha chekesha kwa bia na jamaa wakawa wanakukaza. Mwaka huu, nakuvunjia yai ukija nanenane.

Hakuna mwanaume kamili chini ya jua anayeuliza swali la kipuuzi kama ulivyomuuliza huyo jamaa. Eti ulifeel vipi? We ni gasho tu, share nawe uzoefu wako.
1. Sasa kumbe sijakuuliza wewe mbona sasa unaingilia?

2. Hizo personal attack za Mbeya na nanenane za nini ndugu yangu?

3. Unatafuta umwamba humu, HAYA UMESHINDA.

Any, I AGREE to DIS-AGREE.

#YNWA
 
Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
hapo kwenye kuhamia kwa watoto sijui siku hizi kuna upepo gani kwa kweli...juzi nimeona video kitoto cha miaka nadhani haizidi 7 kinapelekewa moto na chenyewe kina furahi....tena kwenye kinyeo na kilikuwa kitoto cha kike roho ili niuma sana...anae mfanyia hicho kitendo ni mtu mtu mzima mwenye miaka zaidi ya 35​
 
1. Sasa kumbe sijakuuliza wewe mbona sasa unaingilia?

2. Hizo personal attack za Mbeya na nanenane za nini ndugu yangu?

3. Unatafuta umwamba humu, HAYA UMESHINDA.

Any, I AGREE to DIS-AGREE.

#YNWA
Hahaaaaaa, nilitaka udeclare kuwa nimeshinda. Haina shida bro ila unajua kukata maumo na kutikisa tako. Nilikuona ukitikisa tako pale Mbeya pazuri baada ya kuhongwa bia maana haukuwa umelipwa Posho zako za nanenane😀😃😄😁
 
Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
Koka apigwe mimba ..!

😅
 
Mmmmh kwa jibu hili Mungu awasaidie.

Yaani hamuhitaji kabisaa kula hizi mbunye, ila Braza unajua MUNGU ALIKUUMBA MWANAUME?

#YNWA
Sasa unaongea hivyo na wewe nasoma hapo juu hua unawakatikia wanaume bar huko mbeya ili uweze kupewwa posho,..ndio yale yale nasema watu mmekalisha mapumbu mnaongelea watu vibaya kumbe mna mambo yenu mazito watu wanayafahamu mnafanya
 
Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni usikubali kuuza utu wako. Unapewa kilema cha maisha bila kujua.

NB: Nawajua vijana kadhaa kwa sasa inabid wavae diapers kuzuia haja kutoka bila taarifa. Mmoja anaomba michango akatibiwe India, walikua wanampapasa wanamkimbia

"You're the average of the five people you spend the most time with". Kama unawajua mashoga ni swala la muda tu na wewe kuliwa anza kujiandaa.
 
Mtu mwenyewe kaamua kuliwa sasa utafanyaje. Hili swala linazidi kukomaa miaka michache ijayo kila man atakuwa na man wake maadamu Serikali imeshashindwa, wakigusa kidogo tu haki za binadamu wananyoosha makucha basi wacha wainamishane
Vilevile mnajisahaulisha sana mnapozungumzia hawa watu huwa hamuwazungumzii mabasha zao sijui wanajifil* wenyewe hawa ama lah hapo mnaniacha hewani

Mtu anajifanya shehe au kasisi kumbe anakula vitoto vya kiume, wengine wamelawitiwa kwa nguvu wakiwa wadogo hili ni swala mtambuka
Ukianza kulifuatilia utasokomeza watu wengi sana jela, makasisi na mashehe, waalimu, ndugu za waathirika watajaa magereza
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Demokrasia inakupeni uhuru wa kifala sana, eti I didn't know anything about sexuality! Mtu unaona kabisa una li-penis lako linaning'inia halafu unasema hujuwi jinsia yako. Watoto wadogo tu huku mitaani of 6 to 7 years age they know they are damn MEEEN,You guys ni mmeamua tu kuwa blind kujifanya hamuoni utofauti.
Kama wewe eti unasema "I was feminine boy" eti ndo unatumia hii kama fact kujustify uchoko. Kizazi cha nyoka sana hiki.
 
Sasa unaongea hivyo na wewe nasoma hapo juu hua unawakatikia wanaume bar huko mbeya ili uweze kupewwa posho,..ndio yale yale nasema watu mmekalisha mapumbu mnaongelea watu vibaya kumbe mna mambo yenu mazito watu wanayafahamu mnafanya
Kwani aliyecomment hapo si kaleta tu personal attack zake za JF.

Nachouliza ile hali ya kuutelekeza uanaume na kuuhitaji uwanawake ni sawa kweli?
Mungu kakuumbuka Mwanaume kwanini utake kuikosa nature na kutaka kuwa mwanamke, unafikiri mfumo mzima uliokufanya mwanaume (uumbaji) ulikosea?

#YNWA
 
Hizi nguvu za kupinga ushoga zingehamia kuipinga ccm na majizi yake yaani hii nchi ingekuwa bora sana ni sawa na dini zetu yaani ukitaka hii nchi ichafuke kashifu dini lakini majizi yanajikwapulia mali muda wote husikii chochote.
Ikitokea hapa tz waziri fulani akakwapua 100 bilion za kununulia dawa za hosp. na wakati huo huo shoga mmoja akajitokeza hadharani kutangaza biashara yake nakwambieni huyo wazir hakuna atakaemgusa na wakati huyu ndiye atakuwa amesababisha vifo vingi sana.

Viongozi wetu wamefanikiwa sana kuharibu akili zetu yaani walishajua ukifanyika ukwapuaji wa kutisha na vyama labda vya upinzani na wananchi kwa pamoja wakaanza kuonesha dalili za kutaka kuiwajibisha serikali basi ataulizwa Wasira kwamba tunaiokoaje serikali yeye atakachokifanya anamtafuta mchungaji mmoja mjinga anapewa hela anavaa na joho lake anapewa kisu kisha anaambiwa amchinje ng'ombe halafu ile crip inarushwa mitandaoni na kusema nyama hiyo imeuzwa buchani tena tukio hilo linaenda kufanyika huko BUSELESELE Geita huko ambako hata dini fulani haina waumini wengi vumbi litakalotimka sitaki kuendelea
 
Back
Top Bottom