Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

So you've been a gay person for six years now na wala haujutii??
For more than six years but that's not equivalent of having gay sex or relationships and kujutia part, maaannn niliamua let me take a break from all the worries and self judgement cause nilipata blood pressure over it since I hated myself and my life. I had to ignore everything to survive but now I'm way better
 
Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
 
Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
It's normal coca in communities like ours and you can't do anything to change the situation
 
So sad... Ninajamaa yangu mmoja mtanashati fresh tu kumbe shoga

dah Kuna muda katika story tukiwa na wana wengine tunapanga mikakati ya kuoa na kumchangia mwenzetu ambaye soon anaoa, lakini jamaa kweny mada hzo huwa achangii hlf anakuwa mnyonge sana............ Kuja kupewa za kapeti jamaa wanampakua!!!!

Kwanzia siku hyo simu yake huwa napokea kwa tabu sana..... shoga hana haki ya kuishi 🚶🚶
Unapokea ila kwa tabu sana.
 
Back
Top Bottom