Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Kulikiwa Na umuhimu gani kujitambulisha kwamba wewe ni msenge?
 
Your friend is feeling guilty and hopeless, he is not happy at all and maybe ana story anayotaka share but hawezi. As much as unavyomuhukumu he does the same to himself everyday
And later ikitokea amejiua utasikia maneno ya kinafiki kutoka kwao n.k,
Most of friendships ni toxic na harmful kwa100% they judge you kana kwamba wao ni SAINTS waliotoka peponi ama mbinguni, kumbe asilimia kubwa wanafiki tu, wengine ni wana fanya mambo mazito na makubwa zaidi ya hayo wanayowanyanyapalia wengine..kama ulivyosema ishu kama hizo kuna wengine wana sad stories behind, wanataman kutoka, wanaitaj msaada, wengine ni kama wewe ambao mmeamua kukubaliana na hali ya mwili wako unavyotaka, n.k, ndo mana nasema kua na marafik ni ufala tu most of them are judgemental craps
 
Unajifanya timu kataa ndoa, kwa swali hili nawe utashare experience yako muda si mrefu ulifeel vipi ulipoingiziwa pipe. 😀😃😄😁
Haya turudi kwenye mada "Ulijisikiaje siku ya kwanza unatolewa linda?""

Unajisikiaje na hiyo hali yako ya ushoga ukiwa njiani unatembea, kwamba HUJUTII KABISAA??

#YNWA
 
And later ikitokea amejiua utasikia maneno ya kinafiki kutoka kwao n.k,
Most of friendships ni toxic na harmful kwa100% they judge you kana kwamba wao ni SAINTS waliotoka peponi ama mbinguni, kumbe asilimia kubwa wanafiki tu, wengine ni wana fanya mambo mazito na makubwa zaidi ya hayo wanayowanyanyapalia wengine..kama ulivyosema ishu kama hizo kuna wengine wana sad stories behind, wanataman kutoka, wanaitaj msaada, wengine ni kama wewe ambao mmeamua kukubaliana na hali ya mwili wako unavyotaka, n.k, ndo mana nasema kua na marafik ni ufala tu most of them are judgemental craps
Acha ujinga wewe. Acha lijiue halina faida. Lilivyokubali kudinywa lilikushirikisha, sasa linajitilisha huruma bila sababu. Anatakiwa atengwe hadi afe. Pumbavu kabisa hilo.
 
Aisee...ila shida mwaharamu unajikuta million 10 unatoa jicho tuu. Maisha yenyewe ndio haya haya kula raha duniani...huko kwengine hatujui
Aseee!
Wadogo zangu pambaneni sana kumamake, mtu milioni kumi anafilika humu. Kama wewe unafilika kwa milioni kumi huwezi kumkataza mtoto wako wa kiume naye kufilika kwa milioni kumi, nayeye hatomkataza mwanae kufilika kwa milioni kumi, yani kizazi chako ni mwendo wa kufilika tu mpaka atokee wa kujielewa uko mbele kumaliza iyo cycle ni kufilika tu
Disgusting muppets 🤢!
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
hivi kuna watu huwa wana zaliwa na muonekano huo outomatic...sikuwa nalijua hilo aisee kuna mmoja sehemu ukipiga nae picha huwezi dhania kuwa ni gay. ni mzuri kama mwanamke na ametakata vibaya mno shepu anayo na anajua kupangilia mavazi ya kikike yaka mkaa vyema...! huyu ninae mzungumzia usipo mfahamu na yeye asipo kwambia jinsia yake moja kwa moja unaweza kudhani ni mwanamke..!​
 
Haya turudi kwenye mada "Ulijisikiaje siku ya kwanza unatolewa linda?""

Unajisikiaje na hiyo hali yako ya ushoga ukiwa njiani unatembea, kwamba HUJUTII KABISAA??

#YNWA
Hahaaaaa, mwaka jana hukulipwa posho ya nanenane nikawa nakuona pale Mbeya pazuri ukijichekesha chekesha kwa bia na jamaa wakawa wanakukaza. Mwaka huu, nakuvunjia yai ukija nanenane.

Hakuna mwanaume kamili chini ya jua anayeuliza swali la kipuuzi kama ulivyomuuliza huyo jamaa. Eti ulifeel vipi? We ni gasho tu, share nawe uzoefu wako.
 
Back
Top Bottom