The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
bora ambavyo hukuenda Polisi maana ungeangukia pua asubuhi na mapema na ela zingekutoka😂No, face to face.
Tukikuwa tunakaa hostel moja chuo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora ambavyo hukuenda Polisi maana ungeangukia pua asubuhi na mapema na ela zingekutoka😂No, face to face.
Tukikuwa tunakaa hostel moja chuo.
ningeangukia pua kivipi mkuu.bora ambavyo hukuenda Polisi maana ungeangukia pua asubuhi na mapema na ela zingekutoka😂
Shehe Sasa tuache nguvu kazi ipotee?? We need sustainable development which doesn't affect the future of our coming generation, hatuwezi kulea mashoga! Mtu anakwambia hajuwi jinsia yake hana mchango kwenye hili taifaHizi nguvu za kupinga ushoga zingehamia kuipinga ccm na majizi yake yaani hii nchi ingekuwa bora sana ni sawa na dini zetu yaani ukitaka hii nchi ichafuke kashifu dini lakini majizi yanajikwapulia mali muda wote husikii chochote.
Ikitokea hapa tz waziri fulani akakwapua 100 bilion za kununulia dawa za hosp. na wakati huo huo shoga mmoja akajitokeza hadharani kutangaza biashara yake nakwambieni huyo wazir hakuna atakaemgusa na wakati huyu ndiye atakuwa amesababisha vifo vingi sana.
Viongozi wetu wamefanikiwa sana kuharibu akili zetu yaani walishajua ukifanyika ukwapuaji wa kutisha na vyama labda vya upinzani na wananchi kwa pamoja wakaanza kuonesha dalili za kutaka kuiwajibisha serikali basi ataulizwa Wasira kwamba tunaiokoaje serikali yeye atakachokifanya anamtafuta mchungaji mmoja mjinga anapewa hela anavaa na joho lake anapewa kisu kisha anaambiwa amchinje ng'ombe halafu ile crip inarushwa mitandaoni na kusema nyama hiyo imeuzwa buchani tena tukio hilo linaenda kufanyika huko BUSELESELE Geita huko ambako hata dini fulani haina waumini wengi vumbi litakalotimka sitaki kuendelea
Ungeeleza nini polisi?😂😂😂Alafu huwezi amini kuna wasenge wanatoa bure hata siyo mpaka pesa.
Niliwahi tongozwa na shoga mwaka 2016 nikataka nimpeleke police
😁😁😁Ungeeleza nini polisi?😂😂😂
You cocasticYaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.
Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.
Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.
Acheni UNAFIKIII.
Huo muda wa kwenda polisi unautoa wapi? Atafungwa?Alafu huwezi amini kuna wasenge wanatoa bure hata siyo mpaka pesa.
Niliwahi tongozwa na shoga mwaka 2016 nikataka nimpeleke police
Ni mfadhaiko tu nilio upata mda huo.Huo muda wa kwenda polisi unautoa wapi? Atafungwa?
Hapo unakuwa umemshika/umemkwida "mzee-mama" shati?😁😁😁
Ningewaambia kuna mwamba anataka kuliwa jicho naombeni msaidieni kumpa hicho kitu maana mimi ni raia mwema sitaki kukiuka maadili ya kitanzania.
Kwahiyo tupeleke nguvu zetu kupinga CCM wakati watoto wetu wanaliwa!mpaka tumalize hiyo vita ya kuitoa CCM watoto wetu wote si watakuwa wanavaa pempasi?kwahiyo tunachukua madaraka tunamevaa pempasi,wacha tu tufe na umasikini wetu mkuu,ila ushoga NO...Hizi nguvu za kupinga ushoga zingehamia kuipinga ccm na majizi yake yaani hii nchi ingekuwa bora sana ni sawa na dini zetu yaani ukitaka hii nchi ichafuke kashifu dini lakini majizi yanajikwapulia mali muda wote husikii chochote.
Ikitokea hapa tz waziri fulani akakwapua 100 bilion za kununulia dawa za hosp. na wakati huo huo shoga mmoja akajitokeza hadharani kutangaza biashara yake nakwambieni huyo wazir hakuna atakaemgusa na wakati huyu ndiye atakuwa amesababisha vifo vingi sana.
Viongozi wetu wamefanikiwa sana kuharibu akili zetu yaani walishajua ukifanyika ukwapuaji wa kutisha na vyama labda vya upinzani na wananchi kwa pamoja wakaanza kuonesha dalili za kutaka kuiwajibisha serikali basi ataulizwa Wasira kwamba tunaiokoaje serikali yeye atakachokifanya anamtafuta mchungaji mmoja mjinga anapewa hela anavaa na joho lake anapewa kisu kisha anaambiwa amchinje ng'ombe halafu ile crip inarushwa mitandaoni na kusema nyama hiyo imeuzwa buchani tena tukio hilo linaenda kufanyika huko BUSELESELE Geita huko ambako hata dini fulani haina waumini wengi vumbi litakalotimka sitaki kuendelea
Lisemwalo lipo na kama halipo laja. .Kwani aliyecomment hapo si kaleta tu personal attack zake za JF.
Nachouliza ile hali ya kuutelekeza uanaume na kuuhitaji uwanawake ni sawa kweli?
Mungu kakuumbuka Mwanaume kwanini utake kuikosa nature na kutaka kuwa mwanamke, unafikiri mfumo mzima uliokufanya mwanaume (uumbaji) ulikosea?
#YNWA
Mbona kuna mama mmoja mtu mzima, tena kiongozi mkubwa na mwenye watoto na mume ambaye wameachana anafanya?Hali Inatisha kwa vijana kwa sasa. Ni janga la taifa na Dkt. Gwajima D anachekelea tu.
Kwaiyo sku hizi mnajisema kabisa live eemungu simamisha dunia nishukeI'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
should I act sympathetic or belittling myself to please you, by the way I respect you so sitokujibu anythingKulikiwa Na umuhimu gani kujitambulisha kwamba wewe ni msenge?
Ni wa kuwaonea huruma na kuwapatia unasihi.Nilikuwa na mitazamo kama yako awali lakini siku hizi nikiwaona najisikia uchungu na huruma sana.Kwaiyo sku hizi mnajisema kabisa live eemungu simamisha dunia nishuke
My life choices ni zangu and nimemshauri according to what amesimuliaMbona kama unamshauri amsikilize rafiki yake iliamsaidie kuacha, WEWE UPO TAYARI KUACHA??
#YNWA
Siku hizi how cause nilishasema hili 5 years back humu and I don't see the reasons why I should notKwaiyo sku hizi mnajisema kabisa live eemungu simamisha dunia nishuke