Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Hizi nguvu za kupinga ushoga zingehamia kuipinga ccm na majizi yake yaani hii nchi ingekuwa bora sana ni sawa na dini zetu yaani ukitaka hii nchi ichafuke kashifu dini lakini majizi yanajikwapulia mali muda wote husikii chochote.
Ikitokea hapa tz waziri fulani akakwapua 100 bilion za kununulia dawa za hosp. na wakati huo huo shoga mmoja akajitokeza hadharani kutangaza biashara yake nakwambieni huyo wazir hakuna atakaemgusa na wakati huyu ndiye atakuwa amesababisha vifo vingi sana.

Viongozi wetu wamefanikiwa sana kuharibu akili zetu yaani walishajua ukifanyika ukwapuaji wa kutisha na vyama labda vya upinzani na wananchi kwa pamoja wakaanza kuonesha dalili za kutaka kuiwajibisha serikali basi ataulizwa Wasira kwamba tunaiokoaje serikali yeye atakachokifanya anamtafuta mchungaji mmoja mjinga anapewa hela anavaa na joho lake anapewa kisu kisha anaambiwa amchinje ng'ombe halafu ile crip inarushwa mitandaoni na kusema nyama hiyo imeuzwa buchani tena tukio hilo linaenda kufanyika huko BUSELESELE Geita huko ambako hata dini fulani haina waumini wengi vumbi litakalotimka sitaki kuendelea
Shehe Sasa tuache nguvu kazi ipotee?? We need sustainable development which doesn't affect the future of our coming generation, hatuwezi kulea mashoga! Mtu anakwambia hajuwi jinsia yake hana mchango kwenye hili taifa
 
Naweka mkazo kabisa hakuna mwanaume anayezaliwa shoga ..nyie wazazi mnaowalea watoto wenu kimayai mayai unamuacha mtoto wako wa kiume muda wote yupo na dada zake chumbani kwao wanapiga story na wewe unachekelea ilo bomu unalolitengeneza litakuja kukulipukia Soon .. mimi mwanangu tangia yupo mdogo nkienda uwanjani kuangalia mpira nipo nae ....sisemi kama ndio akilelewa mazingira aya ninayofanya ndio atokuja kuwa shoga NOPE angalau namfanya aweze kuelewa yeye ni nani na nini atakiwi kufanya..Nikimkuta chumbani kwa dada zake wakikaa japo dk30 tu anajua nini kinachotokea..Nimeshuudia mimi mtoto anaachwa anashinda na kupiga story na dada zake mpaka mbwana wa dada zake akawa anawajua gues what happened ...NI punga Now
 
Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
You cocastic
 
Hizi nguvu za kupinga ushoga zingehamia kuipinga ccm na majizi yake yaani hii nchi ingekuwa bora sana ni sawa na dini zetu yaani ukitaka hii nchi ichafuke kashifu dini lakini majizi yanajikwapulia mali muda wote husikii chochote.
Ikitokea hapa tz waziri fulani akakwapua 100 bilion za kununulia dawa za hosp. na wakati huo huo shoga mmoja akajitokeza hadharani kutangaza biashara yake nakwambieni huyo wazir hakuna atakaemgusa na wakati huyu ndiye atakuwa amesababisha vifo vingi sana.

Viongozi wetu wamefanikiwa sana kuharibu akili zetu yaani walishajua ukifanyika ukwapuaji wa kutisha na vyama labda vya upinzani na wananchi kwa pamoja wakaanza kuonesha dalili za kutaka kuiwajibisha serikali basi ataulizwa Wasira kwamba tunaiokoaje serikali yeye atakachokifanya anamtafuta mchungaji mmoja mjinga anapewa hela anavaa na joho lake anapewa kisu kisha anaambiwa amchinje ng'ombe halafu ile crip inarushwa mitandaoni na kusema nyama hiyo imeuzwa buchani tena tukio hilo linaenda kufanyika huko BUSELESELE Geita huko ambako hata dini fulani haina waumini wengi vumbi litakalotimka sitaki kuendelea
Kwahiyo tupeleke nguvu zetu kupinga CCM wakati watoto wetu wanaliwa!mpaka tumalize hiyo vita ya kuitoa CCM watoto wetu wote si watakuwa wanavaa pempasi?kwahiyo tunachukua madaraka tunamevaa pempasi,wacha tu tufe na umasikini wetu mkuu,ila ushoga NO...
 
Kwani aliyecomment hapo si kaleta tu personal attack zake za JF.

Nachouliza ile hali ya kuutelekeza uanaume na kuuhitaji uwanawake ni sawa kweli?
Mungu kakuumbuka Mwanaume kwanini utake kuikosa nature na kutaka kuwa mwanamke, unafikiri mfumo mzima uliokufanya mwanaume (uumbaji) ulikosea?

#YNWA
Lisemwalo lipo na kama halipo laja. .
Acha ukumah kijana,,
Hakuna mwanaume rijali anaemuuliza mwanaume.mwingine kwamba akifirwa anajiskiaje..wewe bwana sema ukwel tu kwamba ni mdau basi, hakuna atakaeku judge, mwili ni wako, mana hata sijawah ona mwanamke anamuuliza mwanamke mwingine kwamba ukitombwa hua unajiskiaje..kana kwamba yeye hatombwi. ..mbona na wadada wanaofirwa hamuwasemi, na wamejaaa huko instagram mana video zao zote wanaonesha matako tu wakiyatikisa, na asilimia kubwa wote hapa wanaume sisi ni wateja, tena wanaongea ongea na. Kujifanya maustaz kwamba wanachukia mashoga kumbe nyuma ya pazia wanafira wadada wengine na watoto madrasa
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Kwaiyo sku hizi mnajisema kabisa live eemungu simamisha dunia nishuke
 
Back
Top Bottom