Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni ya pesa usikubali kuuza utu wako. Unapewa kilema cha maisha bila kujua.

MADHARA

1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na magonjwa mengine ya Ngono ni mkubwa (michubuko) maana sehemu ya haja kubwa haikuandaliwa kupitisha mizigo mikubwa na bongo vilainishi marufuku.


2. Ukipata matatizo, hospitali za bongo utaambulia matusi na kunangwa huku unaoza,

3. Hao mabazazi watakuchekea wakufumue Tu hawana muda na wewe wakishakuharibu,

4. Nawajua vijana kadhaa kwa sasa inabid wavae diapers kuzuia haja kutoka bila taarifa.

5. Mmoja anaomba michango akatibiwe India, waliokua wanampapasa wanamkimbia. Michango tunaombwa watu Baki. Sio fair!
Akina James Delicious uwa wanasurvive vipi?🤔
 
Kwani akiwa anamuingilia Mwajuma kinyume na maumbile hua anataka kugundua nini? Zaidi zaidi ni upotofu wake tu
Anajitetea na maelezo marefu, ohh siko interested. Mbona aliendeleza convo na wakaweka ahadi ya kukutana lodge na anampanga jinsi ya kuingia kinyemela wakasodomike.!! Huyu anatufanya sisi wajinga.
Yeye asizunguke naye ni mdau na convo zake zimejieleza.
 
Mkuu,
Ulisema unajitahidi sana kuacha u-gay, umefikia wapi? Naamini hata wewe hupendi sema ndio ulishaingia huko na kutoka sio rahisi sana.
I have decided to live my life ili niwe happy, I don't want to struggle with anything anymore
Naishi tu like any other person with or without relationships. It's not easy but najitahidi
 
We

Ilikosewa.

sasa sijui tukuite nan kaka au dada lakini kwa vyovyote pole na hongera kwa elimu uliyoitoa/unayoitoa kutuasa hasa sisi vijana na kizazi chetu kijacho kuhusu haya mambo na namna gani ya kuwaepuka wale wote tunaowaamini sana kuwa viongozi wetu wa kiroho na kimwili

God bless TANZANIA
God bless AFRICA
#pinga ushoga na unyanyasaji wa kijinsia
Thanks
 
I have decided to live my life ili niwe happy, I don't want to struggle with anything anymore
Naishi tu like any other person with or without relationships. It's not easy but najitahidi
Pole sana mkuu,
Lakini anal sex ina madhara makubwa sana mkuu, hasa kiafya. Ungejitahidi kupambana uachane nayo, mbona kuwa straight is fine!!
 
Pole sana mkuu,
Lakini anal sex ina madhara makubwa sana mkuu, hasa kiafya. Ungejitahidi kupambana uachane nayo, mbona kuwa straight is fine!!
Did you choose to be one
Who taught you how to develop some feelings for women
Either ways nobody knows me more than i do ndio maana i don't judge anyone anaenitukana humu since all they can imagine about me ni james delicious or noel or any slut jumping from one ukuni to another. I am me and that's what matters to me
I'm at that stage ambayo definitions za watu hazibadi ile definition I hold of myself. Thanks
 
Did you choose to be one
Who taught you how to develop some feelings for women
Either ways nobody knows me more than i do ndio maana i don't judge anyone anaenitukana humu since all they can imagine about me ni james delicious or noel or any slut jumping from one ukuni to another. I am me and that's what matters to me
I'm at that stage ambayo definitions za watu hazibadi ile definition I hold of myself. Thanks
I'm not judging you my dear, najaribu tu kuangalia namna gani umeruhusu fikra huru kuutawala ubongo wako kiasi hicho.
 
And later ikitokea amejiua utasikia maneno ya kinafiki kutoka kwao n.k,
Most of friendships ni toxic na harmful kwa100% they judge you kana kwamba wao ni SAINTS waliotoka peponi ama mbinguni, kumbe asilimia kubwa wanafiki tu, wengine ni wana fanya mambo mazito na makubwa zaidi ya hayo wanayowanyanyapalia wengine..kama ulivyosema ishu kama hizo kuna wengine wana sad stories behind, wanataman kutoka, wanaitaj msaada, wengine ni kama wewe ambao mmeamua kukubaliana na hali ya mwili wako unavyotaka, n.k, ndo mana nasema kua na marafik ni ufala tu most of them are judgemental craps
Kheiri kudhulumu nafsi ya mtu kuliko mwanaume kufukuliwa tope.
Yani umeenda kinyume na uumbaji wa Mungu.
Aisee bora kuua kuliko kupakuliwa tope.
Sijaona dhambi inayozidi hiyo kitu,maana huko ni kumdhihaki Mungu kwa uumbaji wake Yani kwamba wanawake aliokuumbia hawakutoshi kiasi unamuinamisha me mwenzio ama alikukosea kukuumba mwanaume kheiri angekuumba mwanamke.
 
Back
Top Bottom