Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Sasa nimechonganisha nini hapo mkuu?Una ka roho flani ndani ako ka uchonganishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nimechonganisha nini hapo mkuu?Una ka roho flani ndani ako ka uchonganishi.
should I act sympathetic or belittling myself to please you, by the way I respect you so sitokujibu anything
Nimesoma na watu ka.ma watano ambao wana hii mionekano ya kike kunzia primary mpaka form 6, na haiba za kike, ninaweza kusema kati yako kuna wawili ambao sasa ni mashoga wanajulikana, mmoja namuona sana mtandaoni, not for money, kwa sababu ni wa kishua kweli kweli, mwingine nasikia kaolrwa mombasa, hao wengine wana familia zaohivi kuna watu huwa wana zaliwa na muonekano huo outomatic...sikuwa nalijua hilo aisee kuna mmoja sehemu ukipiga nae picha huwezi dhania kuwa ni gay. ni mzuri kama mwanamke na ametakata vibaya mno shepu anayo na anajua kupangilia mavazi ya kikike yaka mkaa vyema...! huyu ninae mzungumzia usipo mfahamu na yeye asipo kwambia jinsia yake moja kwa moja unaweza kudhani ni mwanamke..!
"Mahi wetu" 😅😅😅Hakuna filthy pigs
Unaijua tamu ya pig weye muache mahi wetu
Zama zangu si hiziWewe confession pole sana pengine nimeelewa vibaya ila ninachoona ,
Pengine kuna watu walikudhurumu utoto wako/uanaume wako hebu funguka kwa faida ya wengine mana wengine ni wazazi hapa tujue kabisa
You are welcome"Mahi wetu" 😅😅😅
Okay Fag
Vilainishi vikiwepo wengi wataanzaKuzuia vilainishi Ni kuhatarisha maisha ya wanaofanya bila vilainishi. Tunajidanganya hao watu hawapo na hawafanyi kitu ambacho si kweli. Wanafanya Tena wanahatarisha maisha Yao zaidi
Thanks mkuuPole Mkuu kila mtu ana majanga yake
Gen Z ya Tanganyika wanapendaHuwa napata wasi wa uzi kama huu napoona upo trending...
Je vijana wanakataa na madaai ya jamaa hapo au wanakubaliana nae..
Naona umekua gumzo
Mkuu umemenena vyema.Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni ya pesa usikubali kuuza utu wako. Unapewa kilema cha maisha bila kujua.
MADHARA
1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na magonjwa mengine ya Ngono ni mkubwa (michubuko) maana sehemu ya haja kubwa haikuandaliwa kupitisha mizigo mikubwa na bongo vilainishi marufuku.
2. Ukipata matatizo, hospitali za bongo utaambulia matusi na kunangwa huku unaoza,
3. Hao mabazazi watakuchekea wakufumue Tu hawana muda na wewe wakishakuharibu,
4. Nawajua vijana kadhaa kwa sasa inabid wavae diapers kuzuia haja kutoka bila taarifa.
5. Mmoja anaomba michango akatibiwe India, waliokua wanampapasa wanamkimbia. Michango tunaombwa watu Baki. Sio fair!
AiseeeeeGen Z ya Tanganyika wanapenda
Sasa ntafanyaje na ni family friend.... Urafiki wa tumekua wote kitaa kimoja 😥😥Unapokea ila kwa tabu sana.
Ushoga lazima uwe interested ili uuone.Sasa wamezidi kuzungumzia kila mda ndo nn? Tumechoka kusikiliza nongwa zao kila mda, aaah
Nimesoma na watu ka.ma watano ambao wana hii mionekano ya kike kunzia primary mpaka form 6, na haiba za kike, ninaweza kusema kati yako kuna wawili ambao sasa ni mashoga wanajulikana, mmoja namuona sana mtandaoni, not for money, kwa sababu ni wa kishua kweli kweli, mwingine nasikia kaolrwa mombasa, hao wengine wana familia zao
Nilichokigundua, mashoga wengi wala hawana hizo haiba za kike, ni wachache ukute wamezaliwa na hormone nyingi za kike na wanajichukia, mashoga wanazalishwa na tabia za watu wengine, watoto kuingiliwa na ndugu, jamaa na marafiki ndio chanzo kikubwa...
Cha pili ni uraibu wa pombe. madawa ta kulevya n. K, unawapeleka vijana wengi wadogo kwenye ushoga
Hamna shida boss, endelea kwa tabu hivyo hivyo hamna anayekujudge.Sasa ntafanyaje na ni family friend.... Urafiki wa tumekua wote kitaa kimoja 😥😥
Wacha we. Unafiki kiwango cha lami. Unakataa ndoa ila...... hahahaNimesoma comments zote, again nimeobserve kitu kile kile....
Wakataa ndoa "sio wote" huwa mara nyingi wakijadili mada zinazohusu "gay people" wanakuwa na polite tone na adabu zote, they being smooth, curious na conclusion za "well wishing" (direct/indirect)
In contrary wakute akijadiliwa mwanamke mahali labda amezingua au amemzingua jamaa, huwa yanawatoka maneno makali mfululizo na matusi ya kutosha, na lazima wamuite huyo mwanamke "malaya", Hii tuhuma sio mara ya kwanza naitoa.... nimeitoa mara ya 3 now.
Hawa watu tatizo Lao si wanawake, wanatatizo lingine kabisa kwa kujua au kutokujua. Instead of being bitter kwa wanawake ni aheri mtoke "out of closet in peace".
I said what I said, niko makumbusho mje mnipige!
Kusema Kataa ndoa na ushoga ni pande mbili za shillingNimesoma comments zote, again nimeobserve kitu kile kile....
Wakataa ndoa "sio wote" huwa mara nyingi wakijadili mada zinazohusu "gay people" wanakuwa na polite tone na adabu zote, they being smooth, curious na conclusion za "well wishing" (direct/indirect)
In contrary wakute akijadiliwa mwanamke mahali labda amezingua au amemzingua jamaa, huwa yanawatoka maneno makali mfululizo na matusi ya kutosha, na lazima wamuite huyo mwanamke "malaya", Hii tuhuma sio mara ya kwanza naitoa.... nimeitoa mara ya 3 now.
Hawa watu tatizo Lao si wanawake, wanatatizo lingine kabisa kwa kujua au kutokujua. Instead of being bitter kwa wanawake ni aheri mtoke "out of closet in peace".
I said what I said, niko makumbusho mje mnipige!
Umeona hilo neno "sio wote"? Mimi Binti kiziwi nduguye Chura kiziwi nikitoa tuhuma huwa nimechunguza.... two of them nimeshawaqoute kwenye different thread kuwa mbona mnajadili hii mada kisoft soft hivyo wakati kwenye mada za wanawake kuzingua mnatoa matusi mfululizo. Waje hapa wabishe.Kusema Kataa ndoa na ushoga ni pande mbili za shilling