Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Umeona hilo neno "sio wote"? Mimi Binti kiziwi nduguye Chura kiziwi nikitoa tuhuma huwa nimechunguza.... two of them nimeshawaqoute kwenye different thread kuwa mbona mnajadili hii mada kisoft soft hivyo wakati kwenye mada za wanawake kuzingua mnatoa matusi mfululizo. Waje hapa wabishe.

Sina tatizo na wakataa ndoa, pengine mimi ni mmoja wao, but nina tatizo na wakampenia kataa ndoa, like we mwenzio asipooa unapata nini? Mtoto wangu wa kiume asipooa wewe baba Morgan unapata nini? Akioa unakosa nini? And yet nikukute kwenye mada za gays na na wale waliobadili jinsia sijui wanaitwaje, ukijadili kwa furaha halafu nisipate questions marks?? No way!

Ngoja nikwambie kitu Baba Morgan, JF hatufahamiani, lakini amini kuwa maandishi yanatutambulisha, ukitaka kujua uongo wa kitu au ukweli wake angalia consistence na inconsistence factors.

Sitakufundisha kila kitu 😅
Una hoja ila pengine wapo cool kutokana na kutokuwa na information za kutosha kuhusu mada inayojadiliwa
 
Saying a guy who can't stay 3 months straight without having sex
You guys why do you always think kuwa gay issue ni nyepesi while you have never been gays yourselves
With all the stigma and public crucification. Nani angetaka kuwa gay,
Imagine the lame reasons you always use kusema ohhh men hawawezi kuwa na girl mmoja
Imagine if you can't satisfy your sexual desires kwa same woman or much less masturbation or anal sex, what makes you think it's easy for another person kuacha sexual acts zinazompa fullfillment completely
nilisoma huu uzi wa huyu kijana nikasema tu nikae kimya cas niliimagine vitu vingi sana, unaeza kuta hata watoto wako ni bisexual ila huezi kuja kujua never, na wanaoa yes na unakua na wajukuu but your son is bisexual[emoji30], im always confused with human for sure, ni kua normal tu cas siezi msema mtu sababu sijui why amekua alivo, though wa kujiendekeza wapo kwa tamaa zao ila wengine i think ndivo walivo, only God knows, thread yenyewe ni hii[emoji116]

 
Situations and the feelings were always there man
So Someone experienced alizigundua and he created an environment to get me. That's all I can say
mie shangazi yako nakuelewa , though im always confused, same as huyu

 
Ndio uwaambie wenzio wanaowaingilia wanawake kinyume waache au kwa sababu wanawake hawajitangazi km wanaingiliwa nyuma?
Kwanini una deflect? Kwani hujawahi sikia wanaolaani wanawake kuingiliwa kinyume na maumbile? Wasagaji hawakatazwi?

Hii mada inahusu ushoga, unamaanisha wanaopinga waache kwanza wakashughulike na wafir*aji wa wanawake wakimaliza ndio warudi kwenye hii mada.

Mnashangaza... mmoja katuambia tushughulike kwanza na CCM. Is it abnormal kushughulika na "matatizo mengi" kwa wakati mmoja?

Are you okay??
 
Kwanini una deflect? Kwani hujawahi sikia wanaolaani wanawake kuingiliwa kinyume na maumbile? Wasagaji hawakatazwi?

Hii mada inahusu ushoga, unamaanisha wanaopinga waache kwanza wakashughulike na wafir*aji wa wanawake wakimaliza ndio warudi kwenye hii mada.

Mnashangaza... mmoja katuambia tushughulike kwanza na CCM. Is it abnormal kushughulika na "matatizo mengi" kwa wakati mmoja?

Are you okay??
Yes, I am okay

Nilichokimaanisha ni kwamba Hawa Hawa unaowaona HUMU wakiwasakama vijana wanaofanya vitendo hivyo hao hao unaowaona wanatupa mawe na kusema vibaya vijana wanaofanya vitendo hivyo hao hao wanaowasema vibaya vijana wanaofanya vitendo hivyo wakimaliza kusakama/kusema vibaya na kutupa Mawe wanaenda kuwageuza Wanawake na kuwaingilia nyuma yaani kinyume na maumbile

Yaan kwa Wanawake kuingiliwa kinyume na maumbile ni halali kabisa na Wewe unakubariana na hilo yaan nyinyi Wanawake kuingiliwa nyuma ni sahihi?

Naomba unielewe logic yangu ni nini namaanisha kwamba Hawa watu wasiwajaji watu kwa kile wanachokiona ni kibaya kwao Ila wanakifanya kitu hicho hicho kwa Mwanamke kwa kigezo kwamba huyu Mwanamke sehemu zake za nyuma sio Sawa na za Mwanaume,

Ukitaka kuthibitisha hilo pitia baadhi ya majibu nimewauliza wamenijibu hivyo kwamba sehemu ya nyuma ya Mwanamke haifanani na sehemu ya nyuma ya Mwanaume kwa hio ni sahihi Mwanamke kuingiliwa nyuma, kwa hio na wewe unakubariana nao kua nyinyi Wanawake kuingiliwa nyuma ni haki yenu sababu sehemu zenu za nyuma sio sawa na za Wanaume?
 
mie shangazi yako nakuelewa , though im always confused, same as huyu

Aliongea vizuri and that's the reality aunt
 
Kwanini una deflect? Kwani hujawahi sikia wanaolaani wanawake kuingiliwa kinyume na maumbile? Wasagaji hawakatazwi?

Hii mada inahusu ushoga, unamaanisha wanaopinga waache kwanza wakashughulike na wafir*aji wa wanawake wakimaliza ndio warudi kwenye hii mada.

Mnashangaza... mmoja katuambia tushughulike kwanza na CCM. Is it abnormal kushughulika na "matatizo mengi" kwa wakati mmoja?

Are you okay??
Maybe you have a point but confronting those who crucify gays while glorifying anal sex with women nadhani it's right. What you don't know is the same curiosity iliyowafanya kula anal, it's the same curiosity watayotumia kula gays
 
Nimesoma comments zote, again nimeobserve kitu kile kile....

Wakataa ndoa "sio wote" huwa mara nyingi wakijadili mada zinazohusu "gay people" wanakuwa na polite tone na adabu zote, they being smooth, curious na conclusion za "well wishing" (direct/indirect)

In contrary wakute akijadiliwa mwanamke mahali labda amezingua au amemzingua jamaa, huwa yanawatoka maneno makali mfululizo na matusi ya kutosha, na lazima wamuite huyo mwanamke "malaya", Hii tuhuma sio mara ya kwanza naitoa.... nimeitoa mara ya 3 now.

Hawa watu tatizo Lao si wanawake, wanatatizo lingine kabisa kwa kujua au kutokujua. Instead of being bitter kwa wanawake ni aheri mtoke "out of closet in peace".

I said what I said, niko makumbusho mje mnipige!
So ulitaka waniroast effectively 😭
 
Maybe you have a point but confronting those who crucify gays while glorifying anal sex with women nadhani it's right. What you don't know is the same curiosity iliyowafanya kula anal, it's the same curiosity watayotumia kula gays
Shida ni kuwa wa Tanganyika kuwahukumu gays as if wanakulana wenyewe kwa wenyewe kumbe wapo wanaowakula kwa siri halafu in public wanawashutumu
 
Back
Top Bottom