Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Your society? Which society?

Hii society iliyojaa majambazi na wahuni??? Nyamaza weweee huna point kaa chini!

Your so called society is already spoilt and corrupted, no one is spoiling it, for God's sake! Are you okay?

Hii ni dunia, uwanja wa vita kila mtu anapambana na hali yake. Hizi sio enzi za ujamaa za kupakatana magotini.

Kila mtu anakufa na lake, majizi, mafisadi, mashoga na malaya wote tunakwenda sambamba mpaka kieleweke.

Kama hutaki kifiro utupishe, usituletee mahubiri hapa.

Society Tanganyika hii? Hebu peleka huko! 🤣😹😹
Punguza bangi. Nyie ndio watoto mliopatikana mitaroni na kwenye madanguro sikushangai unavoropokwa maana huna malezi ya wazazi. Mungu akusaidie.
 
Wewe nyauba haujui utamu wa kufukuliwa tope. SHUT UP!

Kuliwa kinyeo ni raha sana unajikuta unalikatikia hogo tu mpaka unakunya kwa utamu.

NYAMAZA tena UNYAMAZE KIMYA, uache tufukuliwe vinyesi kwa raha zetu.

Kwani unaumia wapi? Jiunge na wewe uzibuliwe chemba ya mavi.

Cc: cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizoooo una nn wee lakiniiii? Nimechekaaa hatareee.
 
Mtu mwenyewe kaamua kuliwa sasa utafanyaje. Hili swala linazidi kukomaa miaka michache ijayo kila man atakuwa na man wake maadamu Serikali imeshashindwa, wakigusa kidogo tu haki za binadamu wananyoosha makucha basi wacha wainamishane
Vilevile mnajisahaulisha sana mnapozungumzia hawa watu huwa hamuwazungumzii mabasha zao sijui wanajifil* wenyewe hawa ama lah hapo mnaniacha hewani
Mtu anajifanya shehe au kasisi kumbe anakula vitoto vya kiume, wengine wamelawitiwa kwa nguvu wakiwa wadogo hili ni swala mtambuka
Ukianza kulifuatilia utasokomeza watu wengi sana jela, makasisi na mashehe, waalimu, ndugu za waathirika watajaa magere
All

In all HATUPASWI KUONEA HURUMA WAHALIFU COZ ILIBIDI WAONE HURUMA KWA WATENDEWA ,jamii IELIMISHWE ZAIDI kuondoa hz janjajanja za kijinga.
Kuzuia hili jambo usiriaz mkubwa unatakiwa kwasababu kuna Mabasha wanaowatafuna na mara nyingi Mabasha hawa wanatoka kwenye vitengo tofauti
Wengine ni matajiri wakubwa pia kuna ndugu za hawa Mashoga kama wajomba, kaka zao ambao wanawatafuna hawa vidume
Kwahiyo kama nikuwazuia Mabasha wasisahaulike pia
 
Solution ni wanaume kuacha kuwaingilia wanawake na wanaume na watoto. Hii kusema malezi sio solution sababu huyo mtoto hutokuwa naye muda wote na wewe hutoishi duniani muda wote.!!
Ukimlea vizuri mwanao wa kiume kwa maadili na tabia njema yenye hofu ya Mungu hiyo tabia ya kuwaingilia wanaume wenzake na wanawake hatokua nayo. Chimbuko la tatizo ni malezi wazazi tuwalee watoto wetu katika maadili mema wakike na wakiume.
 
Ukimlea vizuri mwanao wa kiume kwa maadili na tabia njema yenye hofu ya Mungu hiyo tabia ya kuwaingilia wanaume wenzake na wanawake hatokua nayo. Chimbuko la tatizo ni malezi wazazi tuwalee watoto wetu katika maadili mema wakike na wakiume.
Unafikiri hao mashoga wazazi wao sio wazazi wazuri?? Subiri nikutag kwenye uzi wa mdau wa hayo mambo ukamsome.!!
 
Tanganyika Mimi ningeshauri hao mashoga wapewe huduma stahiki. Wasibaguliwa, wengi wamechanwa miqundu wanaoza tu. Wakienda hospitali hawapati tiba kisa wamefpirana
 
Wallah vilee, yaan nakerekwa nikiona mada za hiviii, aaaah.
Wewe ndio ulikuwa muasisi humu hadi nikakuwekea Uzi utolewe humu leo unachukia legacy yako ,Mungu huyu

USSR
 
Wewe ndio ulikuwa muasisi humu hadi nikakuwekea Uzi utolewe humu leo unachukia legacy yako ,Mungu huyu

USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe!! Na Dr Restart mlikua mnanifanya nachezea Ban km njuguu,

Wallah nna legacy humu ndaniii. Woiiiiiih
 
Hivi kwa mateso haya, kuna mtu angeweza kukubali kuwa shoga kwa ridhaa yake? Hata mimi nisingekubali.

There is no happiness in this at all.

Ni vile tu hakuna jinsi, mboro nazo tamu sana unajikuta unazikalia tu.

Ni shida. Wanaume ni watamu sana mimi siwezi kuwaacha asilani. SIWEZI SIWEZI SIWEZI.

Cc: dronedrake Extrovert Mzee wa kupambania Yohimbe bark
My point
Eti uamue tu kuwa shoga as a choice while putting your reputation and relationships at risk recklessly. Haimake sense at all
And aside from sex ukipata the right guy with maturity and exposure, everything feels magical
 
Thanks Confession I appreciate your perspective. Fully agree, our society is brutal..extremely unforgiving to these people. Mimi nadhani hata kama we don’t approve this behavior kama jamii basi let’s have a serene environment to have this uncomfortable conversation, for the sake ya vizazi vya sasa na vya kesho. Wasiwasi wangu ni kwamba kwenye huu mjadala, society imefocus kwenye condemnations, na so far hili halijasaidia kitu. Maybe it’s high time for dialogue.

Ila pia watu kama nyinyi on the other side of the fence, mnaweza kusaidia kuielimisha jamii.

Let’s continue learning
Nobody listens till it arrives in their family and the fact kila kitu chaendelea sirini then the impact huwa noticeable ila the real damage or mzizi wa tatizo hauonekani kwa sababu, those who seek to solve the situation ni straight men who are not ready to have solid conversation with gays. So how can they solve something they don't know, ni upuuzi.
Some of us tunaongea humu tu cause out of here hatuwezi but hopefully watu sahihi watasoma pia
 
Unafikiri hao mashoga wazazi wao sio wazazi wazuri?? Subiri nikutag kwenye uzi wa mdau wa hayo mambo ukamsome.!!
Kama baadhi yenu wana jamii kama wewe mnatia vikwazo kwamba hayawezekani basi hilo ni tatizo lako binafsi kama mzazi. Binafsi naamini organisation ya kwanza ni familia kabla ya taifa. Wazazi wakisimama vizuri familia inakuwa salama labda itokee tu mara chache kwa wanaokengeuka manaa binadamu hubadilika lakini majority family background ina affects life kwa watoto. Wazazi tutimize wajibu wetu tuache visingizio visivyo na msingi.
 
Kama baadhi yenu wana jamii kama wewe mnatia vikwazo kwamba hayawezekani basi hilo ni tatizo lako binafsi kama mzazi. Binafsi naamini organisation ya kwanza ni familia kabla ya taifa. Wazazi wakisimama vizuri familia inakuwa salama labda itokee tu mara chache kwa wanaokengeuka manaa binadamu hubadilika lakini majority family background ina affects life kwa watoto. Wazazi tutimize wajibu wetu tuache visingizio visivyo na msingi.
Mara nyingine wazazi ni sababu kutokana na hayo hayo maadili. Kijana wa kiume akishabalehe anahitaji flirting na mabinti kitu ambacho wazazi hawataki sababu si maadili.

Nyege mbaya sana na wazazi huwa hawana uelewa wa kudhibiti nyege na nyege ndo huzaa na ushoga humo humo.

Unalea mtoto kwa maadili, mtoto anabalehe, minyege inamjaa, anaogopa kuonekana na binti sababu baba yake ni mtu wa maadili, ikitokea akakutana na firauni tu mzazi hotojua mpaka its too late.
 
Back
Top Bottom