Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thailand uwe makini
Pesa ya kubetVijana tunawasihi. Mjitunze
Unaendeleaje Mkuu. Mara ya mwisho kufanya Douching lini?This thread badoo hehe
DuuhWanachuo wanaish kinyumba kabisa
Kwani mpaka watoe tangazo wakivaa pampazWadada wengi naona wanatoa tigo,hizi habari za kwamba wanaharibike sehemu zao za nyuma,nadhani haipo kwa kiwango kikubwa kama inavyosemwa.Mara watavaa pampasi, mara wanaume watapigwa bomba,mi naona kama stori tu,kwa umri wangu nasikiaga tu miaka na miaka.
Ingekua hayo madhara yapo kweli,kwa huku kushamiri kwa watu wanavyofanya mapenzi kinyume na maumbile,mahospitalini kungekua kunajaa.
Kasoro BICHWA KOMWE -Vijana wengi wanajutia kuliwa
Ingejulikana tu,hata wanapoenda kufanya mapenzi,si wangekua wamevaa,lakini ndo wanavaa vimini na tigo wanatoa,hii inafanya kuamini madhara hayo hapo,inakua changamoto, yaani madhara yanakua too theoretical.Kwani mpaka watoe tangazo wakivaa pampaz
Point yako haswa ni nini?Ingejulikana tu,hata wanapoenda kufanya mapenzi,si wangekua wamevaa,lakini ndo wanavaa vimini na tigo wanatoa,hii inafanya kuamini madhara hayo hapo,inakua changamoto, yaani madhara yanakua too theoretical.
Wadada na wakaka wengi sana wanafanya hiyo michezo.
Isemwe tu kua ni kinyume na mila na desturi zetu,na si kusema madhara ambayo mtu akimuona shoga au mdada anayefanya mapenzi kinyume na maumbile,anaproof wrong.Point yako haswa ni nini?
Wewe ni mmojawapo?Isemwe tu kua ni kinyume na mila na desturi zetu,na si kusema madhara ambayo mtu akimuona shoga au mdada anayefanya mapenzi kinyume na maumbile,anaproof wrong.
La sivyo watu watasema wale wanaoorodhesha MADHARA ya kuvaa pampasi na mengineyo,ni waongo hivyo kuleta kupelekea kupngezeka kwa vitendo hivyo.