Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Wewe ni mmojawapo?
Mmoja wa wasiomamini kwamba wanaoshiriki mapenzi kinyume na maumbile wanavaa pampas?
Kama ndicho ulichomasnisha,mimi ni mmoja wa wasioamini,ndomaana ya mimi kushauri hapo namna ya kuliwasilisha kwa wale wanaosoma maandiko mbalimbali kuhusu ushiriki wa hayo matendo.
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Maku kweli wewe
 
I'm not in a good shape kuongelea hilo deeply today cause huniumiza sana but as far as I can remember
I was just a feminine young boy and people wangecomment about my face, navyoongea or navyotembea and some wakaniita shoga na kunitenga while at that time I didn't even know anything about sexuality. I was born with that look and sikujichagulia but I thank God at that time niliyapitia yote mazito without kujiunga na destructive gay squads za mjini or having gay sex prematurely. I focused on me that even my first gay relationship niliipata online willingly unlike many other gays waliopata gay experiences at a young age
Yani unajisifia kut*mbwa
 
Wadada wengi naona wanatoa tigo,hizi habari za kwamba wanaharibike sehemu zao za nyuma,nadhani haipo kwa kiwango kikubwa kama inavyosemwa.Mara watavaa pampasi, mara wanaume watapigwa bomba,mi naona kama stori tu,kwa umri wangu nasikiaga tu miaka na miaka.
Ingekua hayo madhara yapo kweli,kwa huku kushamiri kwa watu wanavyofanya mapenzi kinyume na maumbile,mahospitalini kungekua kunajaa.
Bila shaka wewe nae ni mmoja wao
 
Chanzo kinaanzia kwa wanawake wanaoingiliwa nyuma so mwanaume anaaamua kujaribu na kwa mwanaume mwenzake hapo ndo mashoga wanapoanzia
 
Mmoja wa wasiomamini kwamba wanaoshiriki mapenzi kinyume na maumbile wanavaa pampas?
Kama ndicho ulichomasnisha,mimi ni mmoja wa wasioamini,ndomaana ya mimi kushauri hapo namna ya kuliwasilisha kwa wale wanaosoma maandiko mbalimbali kuhusu ushiriki wa hayo matendo.
Binafs nimekuelewa,itakuwa ni porojo

Ila shida ipo kwa wamama ambao watapata ujauzito wakat wa kujifungua huwa ni mziki,mavi hayazuiĺiki
 
Back
Top Bottom