Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kijana Ibu ni balaa, Ibu ni balaa, ni balaa la IbuNi miaka ya 2000/2001 huko wilayani kwetu jamaa mmoja aliyeitwa Ibu aliibua taharuki mtaani baada ya kubuni style ya kuwavutia wadada.
Alikuwa akivaa shanga na kukatika viuno vya kiwango cha SGR.
Sasa kila dada akipitiwa anaweza kusimulia kuwa Ibu ni moto wa kuotea mbali. Basi wakawa wao ndio humfuata idi ili awaonyeshe shanga.
Ibu hapo kipengere cha kuwaonyesha shanga na ujuzi wa mauno basi akashituka kamaliza mtaa.
Wadada ni watu wa ajabu sana.
Halafu kila aliyepitiwa kasema kuwa yeye kasimuliwa tu.
Ibu daaaahhhMtaa wenu una vijana wa hovyo
Kuanzisha uzi JF imekuwa rahisi sana
2007 Morogoro kuna Me mmoja alipakaaga mashine yake rangi ya bendera ya Taifa na alikuwa akiishi kwenye nyumba ya kupanga, alitafuna PISI KALI kama zote hadi Ke za Watu sababu ya ujinga tu wa Ke kusimuliana kuwa Me flani ana mashine nzuri sababu imepakazwa rangi.Ni miaka ya 2000/2001 huko wilayani kwetu jamaa mmoja aliyeitwa Ibu aliibua taharuki mtaani baada ya kubuni style ya kuwavutia wadada.
Alikuwa akivaa shanga na kukatika viuno vya kiwango cha SGR.
Sasa kila dada akipitiwa anaweza kusimulia kuwa Ibu ni moto wa kuotea mbali. Basi wakawa wao ndio humfuata idi ili awaonyeshe shanga.
Ibu hapo kipengere cha kuwaonyesha shanga na ujuzi wa mauno basi akashituka kamaliza mtaa.
Wadada ni watu wa ajabu sana.
Halafu kila aliyepitiwa kasema kuwa yeye kasimuliwa tu.
Hiyo sasa kali2007 Morogoro kuna Me mmoja alipakaaga mashine yake rangi ya bendera ya Taifa na alikuwa akiishi kwenye nyumba ya kupanga, alitafuna PISI KALI kama zote hadi Ke za Watu sababu ya ujinga tu wa Ke kusimuliana kuwa Me flani ana mashine nzuri sababu imepakazwa rangi.
Ke akili zao huwa wanazijua wao wenyewe [emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tena watakuhisi mganga wa kienyejiSio kwa kizazi hiki...
Kama huna hela,, Utavaa shanga hizo mpaka zitoe sugu kiunoni.
Post ya ujinga lakini upo hapa na ume reply pia, sasa mjinga nani? ungeipotezea tuu kama una maanishaSikuhizi hata wale greatthinker wanachangia upumbavu...yan jf imekua kama sehemu za waku kumalizia hasira/machungu/magumu wanayopitia huko......
Mbaya zaidi ukiacha wewe kupost ujinga,kuna raia kama kumi wanajiunga kuendeleza ujinga
Post ya ujinga lakini upo hapa na ume reply pia, sasa mjinga nani? ungeipotezea tuu kama una maanisha