Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@FaizaFoxy anasemaje?
Kwani hii ni vita ya kidini ?Huyo dogo ni mpumbavu.. Terrorists sympathizers wapo kila sehemu.. Sasa hivi ni kama vile Dunia imeingiwa na ugonjwa wa kuchukia ukweli.
Utashusha vipi silaha dhidi ya Adui ambaye katiba yake inataka wewe ufe kwanza ndiyo mazungumzo ya amani yafanyike?.
Ndani ya israel kuna waislam na muislam hajifichi kwa unafiq.
Upumbavu ni kupoteza maisha yako kupigania ardhi ambayo ipo milele.Kila nchi haikosi Watu waoga
Wakati tunaelekea Mutukula wako Vijana walikataa eti ni Vita ya ugomvi binafsi wa Nyerere na Idd Amin
Waoga hawakosagi sababu [emoji3]
Kwa hiyo majeshi yote yafutweUpumbavu ni kupoteza maisha yako kupigania ardhi ambayo ipo milele.
Halafu kuna mijitu ipo ikulu kazi kuzunguka kwenye viti tu, ikitoa order.
Moja ya kazi ya kipumbavu kwa binadamu ni uanajeshi.
Huyo kijana sio muoga.ila ametumia akili tu vyema.
Huwezi kupoteza maisha kisa Vita kupigana na binadamu mwenzako kisha mwisho wa siku wote mnakufa.
Mnachopigania kipo vilevile.
fikra za kiboya sana hizo mzee...by the way nyie wa tz vitu vya kusema kwa mdomo tu hapa waoga kusema,unamsimanga huyu dogo kwa kukwepa mapigano ya vita una jielewa kweli wewe!!!Huyo dogo ni mpumbavu.. Terrorists sympathizers wapo kila sehemu.. Sasa hivi ni kama vile Dunia imeingiwa na ugonjwa wa kuchukia ukweli.
Utashusha vipi silaha dhidi ya Adui ambaye katiba yake inataka wewe ufe kwanza ndiyo mazungumzo ya amani yafanyike?.
Ndani ya israel kuna waislam na muislam hajifichi kwa unafiq.
Ndio ikiwezekana yafutwe.Kwa hiyo majeshi yote yafutwe
Vijana gani walikataa?1978 kulikuwa na uzalendo wa hali ya juu kwenye vita vya Kagera.Watu binafsi walitoa malori yao na mabasi kusafirisha askari na mahitaji kwenda frontline.Nilikuwepo wacha uzushi.Hamna wakati Taifa lilikuwa na umoja kama kwenye vita vya Kagera.Na ndio maana tulishinda vita hivyo.Kila nchi haikosi Watu waoga
Wakati tunaelekea Mutukula wako Vijana walikataa eti ni Vita ya ugomvi binafsi wa Nyerere na Idd Amin
Waoga hawakosagi sababu 😀
Ukiondoa mafundisho ya kidini nini kingine kinawaambia wa Islam kuwa hiyo ni Ardhi yao?.Kwani hii ni vita ya kidini ?
Huna unachojua. Zip your mouth.fikra za kiboya sana hizo mzee...by the way nyie wa tz vitu vya kusema kwa mdomo tu hapa waoga kusema,unamsimanga huyu dogo kwa kukwepa mapigano ya vita una jielewa kweli wewe!!!
Kumbe bado wapo wanaisrael wenye hofu ya mungu? Shitua shitua ya Hamasi lmewaibui waisrael wakweli na wenye hofu ya mungu. HAMAS waindelee kukaza maana mawio yamekaribia
Hii barua inatakiwa wasambaziwe misukule ya kiizirael popote pale yalipo
Hii barua inatakiwa wasambaziwe misukule ya kiizirael popote pale yalipo
Wangalikuwa wanauliwa watoto wa kikiristo ICC na UNO wangalikua hawaishi vikao. Tunaona UKRAIN. Kwa sababu wanaouliwa watoto wa kiislam wamekaa kimya. Kama kuna muislam hajazinduka dunia inavyoenda hazinduki tenaexpand...
ujue watu wanachsnganya dini kila mahali hio ni vita ya aridhi watu wanagombea aridhi mapimbi yanaingiza Imani IDF Kuna wanajeshi waislamu wakutosha tu wanapambania aridhi yao palestina Kuna wakristo wakutosha na kila siku wanauawa wakipambania aridhi yao pia shida ipo kwetu ukuKwani hii ni vita ya kidini ?
Vita vya kidini hiviujue watu wanachsnganya dini kila mahali hio ni vita ya aridhi watu wanagombea aridhi mapimbi yanaingiza Imani IDF Kuna wanajeshi waislamu wakutosha tu wanapambania aridhi yao palestina Kuna wakristo wakutosha na kila siku wanauawa wakipambania aridhi yao pia shida ipo kwetu uku