Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea sio kwamba dunia inachukia ukweliHuyo dogo ni mpumbavu.. Terrorists sympathizers wapo kila sehemu.. Sasa hivi ni kama vile Dunia imeingiwa na ugonjwa wa kuchukia ukweli.
Utashusha vipi silaha dhidi ya Adui ambaye katiba yake inataka wewe ufe kwanza ndiyo mazungumzo ya amani yafanyike?.
Ndani ya israel kuna waislam na muislam hajifichi kwa unafiq.
Shida kila sehem mnataka kutia udini udini tuuuuUkiondoa mafundisho ya kidini nini kingine kinawaambia wa Islam kuwa hiyo ni Ardhi yao?.
Palestine kuna waislam pekee ? Nauliza tena kwani hiyo vita ni ya kidini ?Ukiondoa mafundisho ya kidini nini kingine kinawaambia wa Islam kuwa hiyo ni Ardhi yao?.
Mkuu magari na ajali zake zimeuwa watu wengi kuliko vita zote zilizokwisha piganwa hapa duniani- kama ni suala la watu kufa unahitaji kutushawishi zaidiNdio ikiwezekana yafutwe.
Kwani binadamu hawezi kuishi bila majeshi na kupigana?
Vita vyote vilivyo piganwa na vinavyo piganwa aliyeishia na anaye ishia kufa ni binadamu.
Dunia na ardhi ipo vilevile.
Sasa kupoteza uhai wako kwa vita ni upumbavu wa hali ya juu.
Uraia ni dhana ya kufikirika.
Nationality ni Fictional identity.
Kufa ukidai kwamba unapigania taifa lako ni upumbavu wa hali ya juu.
Unataka kusema nini?.Palestine kuna waislam pekee ? Nauliza tena kwani hiyo vita ni ya kidini ?
Wewe ni mpumbavuUnataka kusema nini?.
Nakwambia hivi kufa kupigana binadamu kwa binadamu wote mkiwa na akili timamu ni upumbavu.Mkuu magari na ajali zake zimeuwa watu wengi kuliko vita zote zilizokwisha piganwa hapa duniani- kama ni suala la watu kufa unahitaji kutushawishi zaidi
Palestine kuna waislam pekee ? Nauliza tena kwani hiyo vita ni ya kidini ?
Kwani hii ni vita ya kidini ?
Palestine kuna waislam pekee ? Nauliza tena kwani hiyo vita ni ya kidini ?
dini mnaleta ninyi Palestine wanataka aridhi yao wayahudi wanataka aridhi yao vita vya kidini ni kama vile vya Burma kwa dalai lama ambapo waislamu walikua wakichinjwa na wabudha kilichowaponza wale waislam wa lohingya ni Imani Yao tu na kinawacho waponza wapelestina ni aridhi yao tu Hilo la dini mnaleta ninyi na ndio mnaleta mgawanyiko hamtaki solution mnaona maana mnataka dini ishindeVita vya kidini hivi
ana akili chache mno huyu hawez kujua hili
Ikitokea hii tanzania ya vijana wa sasahv kati ya 100 wataenda wawili.Kila nchi haikosi Watu waoga
Wakati tunaelekea Mutukula wako Vijana walikataa eti ni Vita ya ugomvi binafsi wa Nyerere na Idd Amin
Waoga hawakosagi sababu 😀
Mkuu sehemu ulupokulia baba yako amejenga umelelewa hapo.Kufa ukidai kwamba unapigania taifa lako ni upumbavu wa hali ya juu.
Wanaume wa Tanzania wanapenda Kuwa CHAWAIkitokea hii tanzania ya vijana wa sasahv kati ya 100 wataenda wawili.
Hakuna nchi ya wanaume waoga kama sis watanzania , maneno mengi hakuna vtendo