Kijana wa Kitanzania afungua biashara ya mabilioni nchini China

Kijana wa Kitanzania afungua biashara ya mabilioni nchini China

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.

-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.

My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa

 
Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.

-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.

My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa

Nyie muendekeze uchawa China ndio aje ajenge nchi.yenu
 
Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.

-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.

My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa

We endelea kuwa chawa. Huwez kufanikiwa kwa kuwa chawa.
 
Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.

-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.

My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa

Hiyo my take yako jaribu ku replace na kupunguza uchawa maana ndiyo kazi yako kubwa ili watu waanze kujifunza kwanza kutoka kwako
 
Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.

-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.

My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa

Wampeleke nchini wampatie ukuu wa wilaya ili aisaidie nchi.
 
Back
Top Bottom