Kijana wa Kitanzania afungua biashara ya mabilioni nchini China

Kijana wa Kitanzania afungua biashara ya mabilioni nchini China

Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.

-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.

My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa

Safi....ila si lazima kukoromea watu
 
Back
Top Bottom