ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kachukua uraia wa huko au anaishì kwa resident permit?Huyu bwana(30years) alienda chini mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.
-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.
My Take
Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
View: https://x.com/cgtnafrica/status/1831277920146608149?t=psfIM6-jePzdapS9Z1ScbA&s=19
Nyie muendekeze uchawa China ndio aje ajenge nchi.yenuHuyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.
-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.
My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
We endelea kuwa chawa. Huwez kufanikiwa kwa kuwa chawa.Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.
-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.
My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
Kwa nini unaumia Mimi nisipofanikiwa?We endelea kuwa chawa. Huwez kufanikiwa kwa kuwa chawa.
MwekezajiKachukua uraia wa huko au anaishì kwa resident permit?
Watoto wako wana bahati mbaya kwa kupata dingi ambaye anategemea kipato chake kwa kulamba miguu ya viongozi waliopo madarakani ..fanya kazi halali mkuuKwa nini unaumia Mimi nisipofanikiwa?
Ni mwekezaji lakini ukaaaji wake ukoje? Isije akapewa 24 hours arudi bongo kutokana na wivu tu. Akiwa raia ni bora zaidi.Mwekezaji
KibaliNi mwekezaji lakini ukaaaji wake ukoje? Isije akapewa 24 hours arudi bongo kutokana na wivu tu. Akiwa raia ni bora zaidi.
Sikiliza video inseleza vizuriNina mashaka na huo umri wako. Huyo sio wa miaka 30 bwana
Hiyo my take yako jaribu ku replace na kupunguza uchawa maana ndiyo kazi yako kubwa ili watu waanze kujifunza kwanza kutoka kwakoHuyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.
-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.
My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
Wampeleke nchini wampatie ukuu wa wilaya ili aisaidie nchi.Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa.
-Anamiliki kampuni ya Logistics
-Anamiliki Warehouses
-Anaishi na kuajiri Wachina anawakoromea.
My Take: Tunataka Vijana wengine wapambanaji kama Hawa
watanzania wanaamini sifa moja wapo ya kuwa boss ni kuwakoromea wafanyakazi wakoAnawakoromea. Hahaha