Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,505
Mndenyi ni lazima maana weekend inakuwa mwake sana
Hapo namaanisha anaongea kutokana na kile alicho nacho kw awakati huo na uzoefu unaweza kuwa ni kidogo sana kwenye haya mambo
Umemuona Lizzy wivu umemjaa mpaka anashindwa kusema
I got u sir! Mndenyi ni mndenyi aisee asikudanganye mtu... hewa safi mbege kdg.... ah! I wish to go back. Lizzy nimeshamrusha hewani naona kaingia mitini