Kijana wa kiume fanya hivi kumvutia mwanamke ...

Mndenyi ni lazima maana weekend inakuwa mwake sana
Hapo namaanisha anaongea kutokana na kile alicho nacho kw awakati huo na uzoefu unaweza kuwa ni kidogo sana kwenye haya mambo
Umemuona Lizzy wivu umemjaa mpaka anashindwa kusema

I got u sir! Mndenyi ni mndenyi aisee asikudanganye mtu... hewa safi mbege kdg.... ah! I wish to go back. Lizzy nimeshamrusha hewani naona kaingia mitini
 

Aseee!!!
 
1.uwe na mipesa na magari
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mia ivuga.<br />
Lakini mimi nmeapply ya the only ametick sasa hivi.nasubili jioni nikachakachue.lakini itabidi niende na mshiko baada ya game nmpe akanunue hata sabuni ya kuogea.ntajitahidi leo kua on time nisimuudhi.mia
 
at least 5% kwenye red ila safari naona bado saana
 
mkuu watoto hao wakuwafanyia hivyo ni wakishua mkuu sio kuku wa kienyeji utashaa ndugu yangu..
 
Hizo tips zako Za kisharobaro zitawafaa huko huko kigoma ulipo bongo hazina mpango kabisa
 
Hizo tips zako Za kisharobaro zitawafaa huko huko kigoma ulipo bongo hazina mpango kabisa

umeona eeeeeee!....pesa ndio mpango mzima,hata kama watanuna na kusema maneno mengine lakn huo ndio ukweli bana
 
nimekusoma mkuu, hao ndo huwa wana end na avarage looking girl ..... sweetest are reserved for the best be bst
 
Hizo Choclate huwa mnaleta wenyewe. Even money sometimes hatuombi. I once had a Boyfriend, He once gave me 500,000/= eti nikanywe chai.!!!
we ndo ulikuwa first girl kwake ..........
 
I got u sir! Mndenyi ni mndenyi aisee asikudanganye mtu... hewa safi mbege kdg.... ah! I wish to go back. Lizzy nimeshamrusha hewani naona kaingia mitini
Kakimbia sijui kaona nini hapo
Lizzy haya mambo hayajui ndo maana yeye kazaliwa na kukulia dar mndenyi hakujui kabisa
 
<span style="font-family: comic sans ms">Lizzy ulakuso... Malizia basi jamani. Unajua madhara ya kuacha kumalizia lakini? Hili ndo tatizo la Senior Bachelor!</span>

Ni wa..... ummm ummm wap..... marafiki?!
 
Attraction has no choice nimedate wanawake wengi ktk mazingira ya kawaida sana,wanawake ni feelings tu ukaweza kucheza nazo kwisha habari yao,hawana logic na ukitumia logic wanakuona crazy!women jugde how they feel about you,not otherwise
 
1.uwe na mipesa na magari
gari lako litageuzwa gesti bubu ukimuachia na pesa utalisha wanaume wenzio wanaoinvest economically little output possible highest return
 
Umelazimishwa kuchangia? Unafikiri kila mtu anamawazo kama yako....moral authority ya kuwapa direction ya michango ya watu....umeitoa wapi?
<br />
<br />
chooni
 
unawaza tu kuwavutalia wanawake kitandani, heby fikiria kuboresha maisha ya Mtanzania asiye na chakula, maji, umeme wala mafuta

Kila mtu na wake. Atampata wa sample yake.
 
Kakimbia sijui kaona nini hapo<br />
Lizzy haya mambo hayajui ndo maana yeye kazaliwa na kukulia dar mndenyi hakujui kabisa

Ungejua dasilamu nimepajua juzi usingesema!! Alafu mnanikumbusha ngararimu....
 
hahahahahahahah uwiii mbavu zangu kweli dawa yenu ni kulia kwa nguvu tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…