Kijana wa kiume fanya hivi kumvutia mwanamke ...



hahahahah mkuu na mpaka sasa hivi wapo na ukiweka etna na pale via via mambo yanakuwa super
Ila hivyo ni vigezo vyake bana kuna wengine hatuna hivyo ila tunakubalika tuu
 
Kwa hoja na maswali yule anakushinda
halafu mwambie naomba awe na ujasiri wa kudeclare interest kwa mtu anayeitwa Mr. Rocky ili kulinda heshima

Kaka hujanishawishi!! Unataka nishindwe kabla ya kuingia kwenye mpambano? No way bro mimi mpambanaji na muambie ajaribu atakuja kukusimulia!
 
Kaka hujanishawishi!! Unataka nishindwe kabla ya kuingia kwenye mpambano? No way bro mimi mpambanaji na muambie ajaribu atakuja kukusimulia!

Ashaogopa anataka kutangaza ushindi wa mezani eti wewe una maswali ya mtego so hataweza kuendana na speed yako
 
hahahahah mkuu na mpaka sasa hivi wapo na ukiweka etna na pale via via mambo yanakuwa super<br />
Ila hivyo ni vigezo vyake bana kuna wengine hatuna hivyo ila tunakubalika tuu
<br />
<br />
Mkuu nimeipenda sana hii!
 
Wahi kwenye kituo cha mafuta na galoni...
 
Kwa hoja na maswali yule anakushinda
halafu mwambie naomba awe na ujasiri wa kudeclare interest kwa mtu anayeitwa Mr. Rocky ili kulinda heshima

Yani we mwenyewe huwezi mpaka ufuatwe?!
 
hahahahah mkuu na mpaka sasa hivi wapo na ukiweka etna na pale via via mambo yanakuwa super<br />
Ila hivyo ni vigezo vyake bana kuna wengine hatuna hivyo ila tunakubalika tuu

We mwenyeji wa ViaVia?!
 
Nahisi wewe huwajui vizuri waischana au umezoea kutongoza mahouse girl...mtazamo wangu tu!!
 
<br />
<br />
Mkuu nimeipenda sana hii!

Umeona eeehhh huyo ana category yake ya watu wanaopenda hayo mambo ila sisi wengine tunakubalika tuu bila hata hivyo vigezo
 
Do not underestimate the power of money. Money is Power & Respect.
 
Stail za kuwapata wanawake zinatofautiana na aina ya mwanamke. Mfano; mwenye kipato (au kipato kikubwa) vs asiye nacho (au mwenye kidogo), mwanafunz vs asiyesoma, aliyeolewa vs hajaolewa, Kahaba vs asiye kahaba, n.k

Pia inategemea kama unamtaka kama namna ya kukulipa fandila fulani au lah. mfano kumpa ajira, nafasi ya shule, au huduma fulani ya ofisini. Pia inatofautiana kama wewe wakati unapomtaka alikuwa ameshakupenda yeye (anaogopa kukuambia), au lah...

So, kijana cheza kutokana na mazingira...
 
Kale KaEx kadogo bana kanasumbua kutaka kujua interest zangu na zako kama zinashabihiana

Muulize anataka kujua alafu?!Usikute kakumaind...hehehehhe alafu anaogopa competition!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…