Kijana wa kiume unakuwaje chawa? Kuna shida mahala

uko sahihi,,ila kama hawavunji sheria wacha wainjoi bwan,,, afu izo kaz nying unazosema naomba unipe connection bas ndugu angu πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
 
Ewaaah an staki badae nianze ku scruch...
Nikianza nimeanza. Sio badae nishindwe kujiexpose
uje uniue kama yule ngosha wa penina niache katoto kangu kazuri yatimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ shindwa pepo
 
uko sahihi,,ila kama hawavunji sheria wacha wainjoi bwan,,, afu izo kaz nying unazosema naomba unipe connection bas ndugu angu πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
Njoo PM.
 
uje uniue kama yule ngosha wa penina niache katoto kangu kazuri yatimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ shindwa pepo
I can't aiseee yaani siwezi kabisa...
Kwani unajua alichofanya penina wewe....
Wee kuweza kufanya au πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
I can't aiseee yaani siwezi kabisa...
Kwani unajua alichofanya penina wewe....
Wee kuweza kufanya au πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
matapishi ni kinyaaa huez rudsha tena kwenye kinywaaaa,,,ebu tafuta uzi mwingine tukutane tena ukoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,, nakupa 15 minutes
 
matapishi ni kinyaaa huez rudsha tena kwenye kinywaaaa,,,ebu tafuta uzi mwingine tukutane tena ukoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,, nakupa 15 minutes
Sawa nakutag
 
Dahh! tunamsiktikia Lucas
 
Vijana tuchape kazi tusiendekeze majungu
 
Kama kijana wa kiume ameamua kuwa chawa je akiombwa atoe tako unafikiri atakataa[emoji3]
 
Huu uvi ni ngumu kupendwa kulingana na idadi ya chawa JF kuwa wengi mno kuna siku nlitaka kuandika kitu kuhusu hawa mambwiga.

Yaaani nimefungua JF kwenye channel ya siasa nyuzi tatu mfululizo ni za machawa nguli kabisa humu jf na zinapewaa aiirtime kinoma.
 
Wanasema hakuna tajiri anakosa Mpambe labda kama ni pesa za majini

Kama huna mpambe jua Bado huna pesa na pesa ya kujikimu tu

Yaani uwe na pesa kama pesa ukose mtu au chawa wa kukupa sifa

Hata Mungu tajiri na mmiliki ukimpa sifa na utukufu basi hufurahi, sembuse si binadamu

Hapa utaenda na chawa Gani kati ya hawa watatu

1. Mwijaku

2Baba Levo

3. Dotto Magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…