"Baba kama Pascal mtoto wa baba mkubwa amesoma degree ya uchumi anauza matunda barabarani na rafiki yake kasomea ualimu anaendesha boda boda kuna haja gani ya mimi kuenda kusoma wakati naweza kufanya hizo kazi hatakabla ya kujiunga na sekondari......"
hiyo ndo hoja aliitowa mtoto alio maliza darasa la saba mwaka jana na kufauli kwa Grade A. kwa Baba yake mzazi ambaye ni mfanya biashara.
Kuna wimbi la wapotoshaji kurubuni watoto wadogo kwa kubeza elimu yetu kwamba haina manifaa kusoma ni kupoteza mda kwasababu ya mifuano michache wanao taja kwa wale walio shindwa kupata ajira.
Jamani elimu ina umuhimu wake, nyie Boda boda acheni kupotosha watoto na vijana kwa kutaja mifuano ya uongo, mtu ambaye hajaenda shule hata kama wote wana endesha bajaji hawalingani, ambaye hajaenda shule akikosa ajira maisha yanakua magumu kwake mara mbili ya yule alioenda shule.
"Elimu ni zaidi ya ajira"
hiyo ndo hoja aliitowa mtoto alio maliza darasa la saba mwaka jana na kufauli kwa Grade A. kwa Baba yake mzazi ambaye ni mfanya biashara.
Kuna wimbi la wapotoshaji kurubuni watoto wadogo kwa kubeza elimu yetu kwamba haina manifaa kusoma ni kupoteza mda kwasababu ya mifuano michache wanao taja kwa wale walio shindwa kupata ajira.
Jamani elimu ina umuhimu wake, nyie Boda boda acheni kupotosha watoto na vijana kwa kutaja mifuano ya uongo, mtu ambaye hajaenda shule hata kama wote wana endesha bajaji hawalingani, ambaye hajaenda shule akikosa ajira maisha yanakua magumu kwake mara mbili ya yule alioenda shule.
"Elimu ni zaidi ya ajira"