Kijana wa miaka 16 aliamua kuvaa suit ya skirt siku ya prom

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011

Prom ni sherehe ya kumaliza mitihani ya NECTA. Nisiku ambayo vijana wanavaa mavazi wanayopenda na huwa wanapendeza sana.

Kijana huyu pichani aliamua kuvaa suit ya skirt, kitendo hiki kiliwasikisha wengi. Dunia hii tunakoelekea tunahitaji maombi na kufunga kwa sala.
 
Sky na ww una akili za hivi? NECTA kumbe ipo na ulaya pia? Any way anaonekana kijana ni shoga na ushoga majuu ni sifa njema
 
mbona ni mzungu huyu au huko ulaya wanafanya mitihani ya NECTA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…