Kijana wa miaka 18 afungwa jela miaka 30 kwa kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Kijana wa miaka 18 afungwa jela miaka 30 kwa kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Tonny Kurwa Zuchu [18] Mkazi wa Misungwi Mwanza amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya kuruhusu kuingiliwa kinyume cha maumbile.

Hukumu ya kesi hiyo ya jinai namba 91/2023 imetolewa Aprili 19, 2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya mbele ya Mheshimiwa Hakimu Aliko Mwandumbi baada ya mshitakiwa kukiri kutenda kosa hilo.

Mshtakiwa alitenda kosa hilo Aprili 12, 2023 huko maeneo ya Klabu cha Songambele kilichopo ndani ya Wilaya ya Mbarali kinyume na kifungu namba 154 (1) (c) cha sheria ya kanuni ya adhabu sura 16 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

Mshtakiwa alikuwa akitumia mbinu ya kuvaa gauni na sindilia na kujichanganya kwenye maeneo ya walevi (vilabu vya pombe). Mshtakiwa baada ya kusomewa shitaka lake, alikiri kutenda kosa ndipo Hakimu alitoa hukumu ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama yake.
 
Utakuta kajiuza kufirwa kutokana na kukosa ajira na maisha kufanywa kuwa magumu kwasababu viongozi wake kuiba matrilioni ambayo yamethibitishwa na CAG .

Kijana anafungwa ili aende kufirwa bure Magereza kwa miaka 30 huku wale wezi wanaambiwa watupishe na mabulungutu yetu ya tozo wamesunda na kualikwa futari.
 
Hii yote ni sawa lakini haina mantiki, haki wala mashiko ikiwa wanaoshiriki nao wapo nje.

Iwe ni sharti la kwanza kumtaja basha kila pale shoga anaeingiliwa anakamatwa.

Kuhukumu wanaofanywa tu na kuacha wanao wafanya ni sawa na kujitibu gono bila kumtibu mwenzi wako na kuendelea kulala nae bila kinga.
 
Utakuta kajiuza kutokana na kukosa ajira na maisha kufanywa kuwa magumu kwasababu viongozi wake kuiba matrilioni ambayo yamethibitishwa na CAG .

Kijana anafungwa ili aende kufirwa bure Magereza kwa miaka 30 huku wale wezi wanaambiwa watupishe na mabulungutu yetu ya tozo wamesunda na kualikwa futari.
kwa dunia ilivyo sasa hujakosea kabisa. Usenge umekuwa zaidi njia ya kujipatia kipato kwa vijana wengi kuliko tatizo la kihisia kama wanavyotaka kutuaminisha.

Vijana wengi kupitia mitandao ya kijamii wanaishia kutamani mambo makubwa kuliko uwezo wao. Wakikosa kabisa njia za kupata hivyo vitu wanakimbilia kuingiliwa kinyume na maumbile.

Si jambo la ajabu tena kwa kijana rijali akaenda kuingiliwa kinyume na maumbile ili apate pesa ya kumtoa demu wake out.

Usenge umekuwa biashara sasa baada ya vijana kukata tamaa na ugumu wa maisha.
 
Tonny Kurwa Zuchu [18] Mkazi wa Misungwi Mwanza amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya kuruhusu kuingiliwa kinyume cha maumbile.

Hukumu ya kesi hiyo ya jinai namba 91/2023 imetolewa Aprili 19, 2023 katika Mahakama ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya mbele ya Mheshimiwa Hakimu Aliko Mwandumbi baada ya mshitakiwa kukiri kutenda kosa hilo.

Mshtakiwa alitenda kosa hilo Aprili 12, 2023 huko maeneo ya Klabu cha Songambele kilichopo ndani ya Wilaya ya Mbarali kinyume na kifungu namba 154 (1) (c) cha sheria ya kanuni ya adhabu sura 16 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

Mshtakiwa alikuwa akitumia mbinu ya kuvaa gauni na sindilia na kujichanganya kwenye maeneo ya walevi (vilabu vya pombe). Mshtakiwa baada ya kusomewa shitaka lake, alikiri kutenda kosa ndipo Hakimu alitoa hukumu ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama yake.
sasa shoga mnampeleka jela na yule aliyekuwa anamfanya shoga mnamwacha uraiani are you serious ?si ndio anaenda kuendeleza ushoga huko mahabusu mpaka afe.. Nafikiri kuna watu wazima na wasomi ila akili hawana kichwani...
 
Huko gerezani wanaenda tu kuongeza mzigo wa kupewa chakula....wawafanyie namna nyingine
Hata mimi mwenyewe nimewaza hapa, nikakosa majibu! Hivi huko jela mtu aliyefikia hatua ya kujiita Zuchu, anaenda kufanya nini!

Si ataenda tu kuwaletea majaribu wafungwa wenzake, nyapara na viherehere.
 
Hii yote ni sawa lakini haina mantiki, haki wala mashiko ikiwa wanaoshiriki nao wapo nje.

Iwe ni sharti la kwanza kumtaja basha kila pale shoga anaeingiliwa anakamatwa.

Kuhukumu wanaofanywa tu na kuacha wanao wafanya ni sawa na kujitibu gono bila kumtibu mwenzi wako na kuendelea kulala nae bila kinga.
Akikataa kumtaja utamlazimisha?ndio maana inakuwa vigumu kuwapata
 
Hivi wanakua wanaruhusu vipi? Wanavua nguo na kujibinua anayetaka kuingiza aingize ama inakuaje? Na hao walioruhusiwa kuingiza sheria haina neno nao?
Hio ni lugha ya kisheria tu kumaanisha huyo anafanya ushoga(kuingiliwa)kwa ridhaa yake,hata hao wanaomwingilia sheria pia ni kali hivyohivyo ila kuwapata inategemea ushirikiano wa mwingiliwaji,kama hayupo tayari kuwataja utampataje

Hujasikia watu waliowawalawiti wagoni wao wakifungwa miaka 30,ni sababu ushahidi unakuwepo wa watu wengine au video.
 
Wafungwe tu kunusuru kizazi kilichopo
Subirini watoto wenu ME wakikamatwa na Tanpol halafu wakipelekwa Muhimbili kupekuliwa mikundu ndipo mtaelewa. Maana sasa mko bize na HATRED yenu. Mnadhani hao Tanpol wanawakamata mashoga tu? Mpaka watoto wenu watakamatwa mkiachia huu UPUMBAVU uendelee.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Hii yote ni sawa lakini haina mantiki, haki wala mashiko ikiwa wanaoshiriki nao wapo nje.

Iwe ni sharti la kwanza kumtaja basha kila pale shoga anaeingiliwa anakamatwa.

Kuhukumu wanaofanywa tu na kuacha wanao wafanya ni sawa na kujitibu gono bila kumtibu mwenzi wako na kuendelea kulala nae bila kinga.
Mkuu ingawa umetoa ni kama mfano tu kwenye statement yako hii, lakini hauwezi kuambukizwa gono halafu ukatibiwa kisha ukarudi kusasambua tena peku bila kumtibu "mshirika"!

Gono isikie kwa mwingine na siyo uipate au ikupate!

Unaweza kupanga kumuua aliyekuambukiza kutokana na impact ya uchungu wa mateso ya ugonjwa huo.
 
Back
Top Bottom