Kijana wa miaka 18 afungwa jela miaka 30 kwa kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile

Waliyokuwa wakimuingilia nao vp
Wameshtakiwa

Ova

Bado kuna namna tunakosea kwenye haya mapambano, ilifaa akikamatwa ataje na walau watu watatu anaowafahamu walikua wanamwingilia ili jela waende wote, kuacha mabasha nje bado ni kuzidisha tatizo maana wataharibu na kulaghai vijana wengine na kuzalisha mashoga wengi kila leo
 
Safi kabisa. Naunga mkono [emoji817]
 
Sasa unaconnect vipi hao wawili kama hukuwafuma wakifanya?
Sasa na msenge utathibitishaje kaingiliwa bila kumfuma, na km uwazi, je km sio uume, ni yeye alikua anatumia vidole vyake??

Hebu waza kwa sauti,
 
Na ndo maana kila kukicha wanaongezeka, kisa mabasha wako huru na hawajali wala nn
 
Hivi wanakua wanaruhusu vipi? Wanavua nguo na kujibinua anayetaka kuingiza aingize ama inakuaje? Na hao walioruhusiwa kuingiza sheria haina neno nao?
Wanadakwa Mmoja Mmoja kudadek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…