Kijana wa miaka 20 natafuta ajira au kazi

Joined
Dec 11, 2024
Posts
94
Reaction score
240
Naitwa Yusuph , umri miaka 20 natafuta Ajira au kazi yoyote ile ya halali.


Elimu yangu kidato cha nne.
Aina ya kazi , naweza kufanya Kazi mbali mbali , zakutumia akili pamoja na nguvu

Napatikana DSM wilaya ya TEMEKE

Mawasiliano +255696993834
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…