Kijana wa namna hii tukimfukuza ni kosa?

Tatzo n kuwa huyo mkaka n kiwembe, na amepita na demu aidha wako au wa mshikaji, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuchapiwa n siri ya ndan, vumilien lol
Mlongo mlongo mlongoooo...!! Nikukemalili mara jidatu... KUHONGEWA KUVINA
 
Wanaume tumebaki wachache Sana hili jambo nalo nila kuomba ushauri kweli[emoji57][emoji57]
 
Ngoja akugongee demu wako ndio utajua kuw hujui
 
Dom vijana wengi ni mapusha wanauza bange usikute mmefundisha wenyewe kunyonga ganja sahiv amekua mtaalam zaid yenu
 
Kwa kuwa wewe walikuvumilia huko Tanga. Ukaamua kutoka moyoni usimfukuze basi kaa naye hata kama wenzako wakitaka muondoke ondoka naye mkaishi. Huo ndiyo upendo wa kweli
dogo ni wa kahama huko hata kwao sipajui ni tofauti na walioniop hifadhi tanga
 
Ubaya wa watu wa hivyo ni kuwa wewe unamuonea huruma lakini yeye anajiona mjanja na kukuona zuzu.
 
Hapo mchongo ni kachukua demu either way huyo mskaji au wako hayo masuala ya kuzungukana kwenye kazi geresha tu, jamaa kiwembe atawatombea Sana mademu wenu 🤣🤣
afu meku kwa umri nilioko sio wa kuwa na ushamba wa wanawake na pia level ya uchumi nilioko nikiwaendekeza hakuna mahali nitafika so na kingine huku changombe niliko huwezi sema huyu ni demu wako ukimkazia mshikaji ataenda gongwa na wengine. Ishu ya dogo ni kupatania kazi kwenye ofisi ya mtu na kuingia mitini na pesa yote bila aibu huku hata dawa ya mswaki hanunui kila kitu unamfanyia kama mwanao tena boom likimuisha na msosi na maji ya kunywa tunamsapport kiaina afu ukipatania kitu anakuzunguka tushamwambia mara kibao haelewi
 
Tatzo n kuwa huyo mkaka n kiwembe, na amepita na demu aidha wako au wa mshikaji, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuchapiwa n siri ya ndan, vumilien lol
afu sina demu ujue hawa wa kugonga na kupita huwezi sema ni demu
 
Mpige marufuku kukanyaga ofisini kwako...uone kama atakuelewa asipokuelewa mpige Ban ya Maisha mazima kunusa harufu yako au ya popote utakapokuwa maana huo mwendo aliyo nao si wapolepole atamaliza pesa kwenye kibubu.
 
kuchukua demu wa masela hao masela basi hawana nguvu za kiume
 
Wanaume tumebaki wachache Sana hili jambo nalo nila kuomba ushauri kweli[emoji57][emoji57]
Man ushawahi kula msoto ivi afu ukapata hifadhi na watu hata huwajui wakusaidia kama ndugu ndio utajua kwanini huyu dogo hatujamtimua mpaka sasa na nikaja omba ushauri huku kila nikitaka mfukuza najihisi kama nitakua na hatia ndio maana nikaja huku kupata msukumo na nisijihisi kama na hatia maana mimi mwenyew sijamaliza hata mwaka dodoma na tulipokelewa hivo hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…