Kijana wangu miaka 11 kashaanza kutongoza na kujisifu handsome boy, kanistua sana, nichukue hatua zipi?

Kijana wangu miaka 11 kashaanza kutongoza na kujisifu handsome boy, kanistua sana, nichukue hatua zipi?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu

Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.

Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.

Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.

Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!

Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.

Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.

Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.

Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.

Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito

Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
  • Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
  • Nimpe onyo
  • Nikae kimya
  • Nikae nae chini niongee nae nini?
  • n.k.
 
Shukuru Mungu hajatongozwa yeye wala kujinasibu kuwa ni mrembo (beautiful).

Ana muelekeo mwema kwa kuzingatia muenendo wa dunia ya leo. Kikubwa muweke wazi kuhusu athari za kujamiiana mapema, hasa swala la maradhi na mimba za utotoni.

Kuna njia za kuzungumza na mtoto wa rika lake bila kuvuka mipaka.

Kama huwezi basi mpeleke kwa shangazi yake (dada yako kama unae). Kuna namna mashangazi huwa wanakuwa na approach nzuri ya kuasa wapwa zao. Unless dada zako ni vijana wa ovyo wa 2000.
 
Kama anatongoza shukuru Mungu. Mkumbushe tu kuna magonjwa kama UTI na mengineyo awe makini
Yani naanzaje kukaa na mtoto wa miaka 11 hana nywele bado kwapani tuanza zungumzia haya mambo mazito?

Ila najua nikitumia viboko kama ilivyozoeleka ataendelea kwa kificho na kuwa mbunifu zaidi wa kuficha barua,
 
20240830_171735.jpg
 
Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu

Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.

Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.

Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.

Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!

Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.

Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda ? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.

Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.

Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.

Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito

Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
  • Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
  • Nimpe onyo
  • Nikae kimya
  • Nikae nae chini niongee nae nini ?
  • n.k.
Acha dogo ale mbususu
 
Back
Top Bottom