Kijana wangu miaka 11 kashaanza kutongoza na kujisifu handsome boy, kanistua sana, nichukue hatua zipi?

Kijana wangu miaka 11 kashaanza kutongoza na kujisifu handsome boy, kanistua sana, nichukue hatua zipi?

Mueke chini umpe ABCD na mhusie zaidi kuhusu magonjwa na kujikinga.

Usisahau kumsisitizia kuwa aache alichokianza sio muda wake, kwa sasa asome kwanza hayo mambo mengine atayakuta mbeleni na atafanya mpaka atachoka mwenyewe.
 
Tatizo wazazi tunadhana ya balahe Ina anza miaka 15 na kuendelea kumbe tunakosea sana kutokana na mfumo wa mabadiliko ya kidunia na vyakula tunavyo kula balehe Ina anza miaka 11 hivo ni wakati wa kuwa karibu na watoto wetu na kuwaongoza katika makuzi ya balehe
 
Mjusi hajawahi kuzaa nyoka mazee..😜
By the way, mtoto umleavyo ndio hivyo....🤨
 
Tatizo wazazi tunadhana ya balahe Ina anza miaka 15 na kuendelea kumbe tunakosea sana kutokana na mfumo wa mabadiliko ya kidunia na vyakula tunavyo kula balehe Ina anza miaka 11 hivo ni wakati wa kuwa karibu na watoto wetu na kuwaongoza katika makuzi ya balehe


Kwanini nyie watu weusi mkiingia katika balehe -mnakuwa mnawaza ngono na kupeana mimba.

Tofauti na sisi Jamii nyeupe
 
Yeye anajiona mkubwa wakati wewe unamuona mdogo, ongea naye tu kwa kina na umweleze ukweli kuhusu hiyo Barua aliyokuwa ameficha.
 
Jiridhishe..unaweza kukuta anatongozwa/tongoza mvulana mwenzie..na yeye anajisifia handsome akawa mhanga.
 
Kwamba anaangalia nyash 😀😀
Wew babaake ilikuwaje kwenye ujanawako maana urithi huwaga na Zaid 😀
Labda nikuulize tu ushawahi kumskika Lunyamila? Au Ronado de lima orijino yule sio huyu mpya.. jibu unalo tayari 😂
 
Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu

Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.

Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.

Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.

Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!

Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.

Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.

Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.

Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.

Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito

Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
  • Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
  • Nimpe onyo
  • Nikae kimya
  • Nikae nae chini niongee nae nini?
  • n.k.
Mtoto ankuwa na hisia Zina nguvu kuliko nini
Inaonyesha wewe hukulitambua hilo Toka mapema

Me nakushauri achana na mwanao tafuta darasa zuri la malezi ya hichi kizazi maana nitofauti sana na kizazi ulichokulia wewe
 
Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu

Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.

Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.

Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.

Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!

Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.

Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.

Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.

Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.

Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito

Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
  • Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
  • Nimpe onyo
  • Nikae kimya
  • Nikae nae chini niongee nae nini?
  • n.k.
achana na mboko ni ujinga we ongea nae as a friend
 
Katakuwa kashoga kama kameanza jiona kazuri.
Mwanaume hupaswi jiona mzuri
 
Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu

Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.

Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.

Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.

Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!

Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.

Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.

Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.

Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.

Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito

Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
  • Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
  • Nimpe onyo
  • Nikae kimya
  • Nikae nae chini niongee nae nini?
  • n.k.
Mimi ninhemsisitiza tu kutumia kondom na awe na mpenzi mmoja.

Wenzio wanalia, vitoto vya kiume vimegeuzwa bwabwa.
 
Nakushauri kwanza Fuatilia binti anaemtongoza ni nani ukute ni mtu mzima!

Kaa nae chini balehe zinawahi siku hizi oooh .
 
Back
Top Bottom