Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mueke chini umpe ABCD na mhusie zaidi kuhusu magonjwa na kujikinga.
Usisahau kumsisitizia kuwa aache alichokianza sio muda wake, kwa sasa asome kwanza hayo mambo mengine atayakuta mbeleni na atafanya mpaka atachoka mwenyewe.
Hakika mkuuMtoto wa nyoka ni nyoka
Tatizo wazazi tunadhana ya balahe Ina anza miaka 15 na kuendelea kumbe tunakosea sana kutokana na mfumo wa mabadiliko ya kidunia na vyakula tunavyo kula balehe Ina anza miaka 11 hivo ni wakati wa kuwa karibu na watoto wetu na kuwaongoza katika makuzi ya balehe
Kwamba anaangalia nyash ππIla matoto siku hz yanawahi kila kitu, me chalii ana miaka 5 ashaanza pigo za kugeuza shingo had namfuma sometimes need to tighten up
Labda nikuulize tu ushawahi kumskika Lunyamila? Au Ronado de lima orijino yule sio huyu mpya.. jibu unalo tayari πKwamba anaangalia nyash ππ
Wew babaake ilikuwaje kwenye ujanawako maana urithi huwaga na Zaid π
Mtoto ankuwa na hisia Zina nguvu kuliko niniWataalam wa malezi naombeni msaada wenu
Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.
Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.
Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.
Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!
Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.
Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.
Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.
Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.
Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito
Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
- Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
- Nimpe onyo
- Nikae kimya
- Nikae nae chini niongee nae nini?
- n.k.
Kabla ya kuanza kumshauri wazo la kwanza lililonijia ni hili la kwako..Kwa dunia hii ya sasa mshukuru Mungu katoe sadaka
achana na mboko ni ujinga we ongea nae as a friendWataalam wa malezi naombeni msaada wenu
Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.
Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.
Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.
Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!
Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.
Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.
Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.
Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.
Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito
Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
- Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
- Nimpe onyo
- Nikae kimya
- Nikae nae chini niongee nae nini?
- n.k.
Mimi ninhemsisitiza tu kutumia kondom na awe na mpenzi mmoja.Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu
Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.
Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi nianze kuitafuta kwenye masofa.
Nikaanza kufunua mito ya masofa nikakuta kuna bahasha ya karatasi za rim nyeupe imekunjwa kwa ustadi, kuichunguza nikaona maneno ya jina la mtoto kwa chini yake kaandika the handsome boy.
Nikafungua bahasha kulikuwa na kikaratasi nikaanza kuisoma, MH !!!!!
Sio kwa vocal / mtongozo ule, Mtu mzima nilikuwa naisoma huku nimesimama ila ilibidi nikae chini.
Kiufupi kamsifia halafu mwishoni kaandika mimi nakupenda, wewe unanipenda? Nijibu sitamwambia mtu yeyote ila mimi nakupenda.
Binafsi nimechukulia ni yale mapenzi ya kitoto kuwa karibu kama mabesti lakini siwezi jua, labda ni zaidi ya hapo mfano kukumbatiana na kubusiana ama vikubwa zaidi visivyowafaa watoto.
Niliirudisha barua, asubuhi sijaikuta, namchora tu huyu mvulana anavyojifanya katoto kumbe ana wachuchu.
Angekuwa ni kijana mwenye 15 ningeelewa ni balehe imekolea na ningekaa nae chini kumpa a,b,c,d... Ila kwa huyu mtoto sijafurahi kwasababu bado ni mtoto mdogo kajiingiza kwenye mambo mazito
Ni mvulana mdogo bado, sijui hata nichukue hatua ipi
- Nimtie viboko vya kutosha kama ilivyozoeleka kwa tamaduni za kiafrika
- Nimpe onyo
- Nikae kimya
- Nikae nae chini niongee nae nini?
- n.k.
Maji hufuata mkondoπLabda nikuulize tu ushawahi kumskika Lunyamila? Au Ronado de lima orijino yule sio huyu mpya.. jibu unalo tayari π