Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
🤣🤣🤣🤣huyu si rahisi. Pia kashakomaa pia background yake siyoWanabadiligi jina hao. Tena wanakuwa wabaya kuliko wenyeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣huyu si rahisi. Pia kashakomaa pia background yake siyoWanabadiligi jina hao. Tena wanakuwa wabaya kuliko wenyeji
Kumbe unamfahamu mwamba, jamaa kweli ni mpole sana. Mungu atafanya wepesi atapatikana na kama ukiweza tafadhali sambaza ujumbe huu kwa watu wengine wa karibuDerrick Dennis
Kijana mpole na mstaarabu
Classmate PCB class of 2019-2021, Runzewe High school, Geita
I can't guess correctly what happened maana ni mpole, mshikadinj na asie na makuu
By way, Mungu amuokoe na dhahama iliyomkuta na asaidie apatikane haraka
Pole kwa familia 🙏🙏
Duh, hii noma sasaKuna kijana wa jirani yetu umri kama huo alipotea, ikaja kugundulika baadaye kuwa amekuwa "punda".
huyo itakuwa kanunua simu ya wizi wametrack yupo korokoroniHabari Ndugu zangu, kama taarifa inavyo eleza, kijana huyu amepotea, haonekani.
Wakazi wa Dar es salaam, Msaada kwa atakaye muona au kusikia taarifa zake.
Yani sijaelewa mkuu, alirogwa akageuzwa punda laivu laivu?Kuna kijana wa jirani yetu umri kama huo alipotea, ikaja kugundulika baadaye kuwa amekuwa "punda".
Punda ni mtu anayetumiwa kusafirisha ngada toka nchi moja kwenda nchi nyingine.Yani sijaelewa mkuu, alirogwa akageuzwa punda laivu laivu?
Taarifa imeshafika polisihuyo itakuwa kanunua simu ya wizi wametrack yupo korokoroni
Mara nyingi ni OSTBEY POLISI KATULIZWA
Mkuu Kijana hakuwa mtu wa Jamaica, alikuwa mtu wa kanisa kabisa.Hayo macho anaonekana kama vile anatumia lile jani la Jamaica,
Anzieni vituo vya Polisi mkuu.
vipi kiongozi au umemwazia mheshimiwa rwakatare na aisha yule mnyonya bomba wa tabata?[emoji38]Duhhhh....
Nimejikuta nawaza mbali sana...
kuna katabia ka kutoandikwa kwenye daftari la mapokezi. zinafanyika sana ili kupata wahusika walimuuzia simuTaarifa imeshafika polisi
Nimesoma nae darasa moja, nikakaa nae group moja la msosi (wote tulikuwa hatutumii nyama) na tulikuwa tukisali woteKumbe unamfahamu mwamba, jamaa kweli ni mpole sana. Mungu atafanya wepesi atapatikana na kama ukiweza tafadhali sambaza ujumbe huu kwa watu wengine wa karibu
wabongo kila jambo mnaleta mizaa nani sijui alitulogaDah umri huu mtu anapotea kweli!
Hamjawahi kumuona na lishangazi lolote?
Asiwe anafugwa kimya kimya, huku nyinyi mkitumia nguvu kubwa kumtafuta.
Mh Diwani aliupigwa mwingi pale...🤣vipi kiongozi au umemwazia mheshimiwa rwakatare na aisha yule mnyonya bomba wa tabata?[emoji38]
Duh, nashukuru kwa ufafanuzi, nilijua alirogwaPunda ni mtu anayetumiwa kusafirisha ngada toka nchi moja kwenda nchi nyingine.