Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Seriously???Huyo jamaa jana jioni majira ya saa 1 nimekutana nae kimara kalewa chakarii kavaa pensi na singlendi nyeupe.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seriously???Huyo jamaa jana jioni majira ya saa 1 nimekutana nae kimara kalewa chakarii kavaa pensi na singlendi nyeupe.
Alikuwa na changamoto ya machoSema macho ya njano sana. Ni kama mtu mgonjwa sana. Labda yupo hoi hospitali(Mungu epusha)
Wengi hatujui nini kimemkuta, pia hakuwa mtu wa marafiki wengi hivyo hakuna anaye fahamu ni wapi alikwenda mpaka sasaNimesoma nae darasa moja, nikakaa nae group moja la msosi (wote tulikuwa hatutumii nyama) na tulikuwa tukisali wote
Ni mpole, Hana makuu
Sijui nini kitakuwa kinemkuta!? 🤔
Je alikuwa na akili timamu wakati anapotea?Habari Ndugu zangu, kama taarifa inavyo eleza, kijana huyu amepotea, haonekani.
Wakazi wa Dar es salaam, Msaada kwa atakaye muona au kusikia taarifa zake.
Wakati anapotea mimi sikuwa naye karibuJe alikuwa na akili timamu wakati anapotea?
Sidhani, alikuwa yupo Normal tuPoleni sana....
Hakuwa na dalili zozote za suicide ideation?
Kama sio Mpigania Katiba Mpya basi yuko salama.Habari Ndugu zangu, kama taarifa inavyo eleza, kijana huyu amepotea, haonekani.
Wakazi wa Dar es salaam, Msaada kwa atakaye muona au kusikia taarifa zake.
DahKuna kijana wa jirani yetu umri kama huo alipotea, ikaja kugundulika baadaye kuwa amekuwa "punda".
Mkuu hata mimi bado sielewi. alikuwa ni mwanafunzi na bado haonekani chuoni wala hakuna taarifa yoyote.Mkuu
Vp hakuna taarifa ya kupatikana kwake?
Mbona hujaleta mrejesho?
Mkuu tunamsaka kijana wetu banaDah umri huu mtu anapotea kweli!
Hamjawahi kumuona na lishangazi lolote?
Asiwe anafugwa kimya kimya, huku nyinyi mkitumia nguvu kubwa kumtafuta.