Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu

Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu

Mzee instead kufanya hivyo azima PC kwa mtu au nunua hata ya 120K na External ya 50K tu jazz Movie kama 300 tangaza uuze movie zoote muekee mtu kwa 10,000 Tzs utapata pesa zaidi ya hio bila kubembekeza watu kama upo free yaani
Sawa kaka nitazingatia ushauri wako
 
Anayekupa kazi atajuaje kuwa ulishatapeli mtu? Anyway, hatua ya kwanza ya kuaminiwa ni kuipata hiyo kazi. Kila la heri boss. MUNGU akufungulie milango.
Asante mkuu anaetaka kuniagiza kama haniamin naweza kumtumia vitambulisho vyangu vya muhimu ila anatakiwa kuniamin kwanza
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu gharama ya usafiri ni juu atakaeniagiza
Yes, mfano nipo Ubungo, nimekuagiza Kariakoo jeans mbili na t-shirt mbili, usafiri unakuaje?

Tofauti na nikikuagiza friji.

My point vitu vidogo vidogo unachaji kwa usafiri wa boda, bajaji, bolt au daladala?

Sorry, mi mvivu sana nataka nione kama ita make sense.
 
Habarini,

Kwa wale wafanyabiashara, wafanyakazi, wajasiriamali haswa mliokuwepo mkoani hata ambao mpo ndani ya dar es salaam ambao mlikuwa mnapata shida kuagiza kitu au bidhaa yeyote kutokana na kukosa nafasi au mtu wa kumuagiza bidhaa.

Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu au kumchukulia bidhaa yeyote kwa waliokuwepo mkoani ndani ya dar es salaam ni kwa gharama nafuu kabisa na kwa uaminifu na kukufikia mlengwa kwa wakati sahihi

NB: (1) NAISHI DAR ES SALAAM
(2) NIPO TAYARI KUTUMA VITAMBULISHO VYANGU AMBAE ATAKUWA NA HOFU NA MM
(3) GHARAMA YA KUNIAGIZA KWA BIDHAA MOJA UNANILIPA 3000
(4) GHARAMA YA USAFIRI NI JUU YAKO UTAKAENIAGIZA
(5) NINA HOFU YA MUNGU PIA NI MUAMINIFU
Hiyo hofu ya Mungu umejipa mwenyewe au umepewa? Kama umejipa, wewe utakuwa kibaka kama vibaka wengine! Kama umepewa na Mungu, huyo Mungu ndo atakupa kazi ya kufanya ya kujiingizia kipato bila kulialia hapa jukwaani!
 
Yes, mfano nipo Ubungo, nimekuagiza Kariakoo jeans mbili na t-shirt mbili, usafiri unakuaje?

Tofauti na nikikuagiza friji.

My point vitu vidogo vidogo unachaji kwa usafiri wa boda, bajaji, bolt au daladala?

Sorry, mi mvivu sana nataka nione kama ita make sense.
Gharama za usafiri ni juu yako unaegiza hata kama ni vitu vidogo kuhusu usafiri kwa vitu vidogo natumia daladala mkuu kwa hapa dar es salaam
 
Nataka koki ya maji ya kufungua Kwa ufunguo ya nchi moja, niko Gongolamboto
Habarini,

Kwa wale wafanyabiashara, wafanyakazi, wajasiriamali haswa mliokuwepo mkoani hata ambao mpo ndani ya dar es salaam ambao mlikuwa mnapata shida kuagiza kitu au bidhaa yeyote kutokana na kukosa nafasi au mtu wa kumuagiza bidhaa.

Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu au kumchukulia bidhaa yeyote kwa waliokuwepo mkoani ndani ya dar es salaam ni kwa gharama nafuu kabisa na kwa uaminifu na kukufikia mlengwa kwa wakati sahihi

NB: (1) NAISHI DAR ES SALAAM
(2) NIPO TAYARI KUTUMA VITAMBULISHO VYANGU AMBAE ATAKUWA NA HOFU NA MM
(3) GHARAMA YA KUNIAGIZA KWA BIDHAA MOJA UNANILIPA 3000
(4) GHARAMA YA USAFIRI NI JUU YAKO UTAKAENIAGIZA
(5) NINA HOFU YA MUNGU PIA NI MUAMINIFU
 
Hiyo hofu ya Mungu umejipa mwenyewe au umepewa? Kama umejipa, wewe utakuwa kibaka kama vibaka wengine! Kama umepewa na Mungu, huyo Mungu ndo atakupa kazi ya kufanya ya kujiingizia kipato bila kulialia hapa jukwaani!
Mkuu mbona una makasiriko ndio nina hofu ya mungu 100% ila watu bhn mm kama kijana ambae napambana kutafuta maisha kwa njia ya halali mtu unakuja kutoa comment ya makasiriko kuwa na hofu ya mungu ni kosa? Siwezi kumtapeli mtu au kitu kisichokuwa changu kukichukua. Huyu mungu ndio atanipa hio kazi mkuu naamin kupitia mipango yake, mkuu sijaja kulialia hapa jukwaan kama huna shida ni bora ukae kimya.
 
Ungeweka kila kitu wazi kwa mfano unasema kila bidhaa 3,000 hapo bora ungeweka kwa Kg maana kama ni bidhaa nikikutuma mashine kubwa utachaji 3,000?
Na usafiri vipi kwa mizunguko ya Dar
Maana tunaijua labda uwe na usafiri wako

Ila bado hujaeleza mengi
Kuuendea mzigo na kuupeleka kwa wakala unatoza hiyo 3,000 au zaidi?
 
good idea kijana . natumaini ukiumiza kichwa zaidi utakuja na plan bora zaidi ya kujikwamua na huu umasikini . Goodluck
 
Habarini,

Kwa wale wafanyabiashara, wafanyakazi, wajasiriamali haswa mliokuwepo mkoani hata ambao mpo ndani ya dar es salaam ambao mlikuwa mnapata shida kuagiza kitu au bidhaa yeyote kutokana na kukosa nafasi au mtu wa kumuagiza bidhaa.

Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu au kumchukulia bidhaa yeyote kwa waliokuwepo mkoani ndani ya dar es salaam ni kwa gharama nafuu kabisa na kwa uaminifu na kukufikia mlengwa kwa wakati sahihi

NB: (1) NAISHI DAR ES SALAAM
(2) NIPO TAYARI KUTUMA VITAMBULISHO VYANGU AMBAE ATAKUWA NA HOFU NA MM
(3) GHARAMA YA KUNIAGIZA KWA BIDHAA MOJA UNANILIPA 3000
(4) GHARAMA YA USAFIRI NI JUU YAKO UTAKAENIAGIZA
(5) NINA HOFU YA MUNGU PIA NI MUAMINIFU
Sasa umeandika maelezo yoote. Afu hujaweka namba ya simu. Tuanze na uaminifu namba ya simu iweke hapa hapa na sio inbox.
 
Unaweza kuwa na uaminifu huo lakni jamii kubwa inayotuzunguka na matukio yaliyotokea na yanayotokea watu kukuamini ni kazi sana mkuu.

Uaminifu unawezakuwa nao wewe shida ikaja kwa mteja wako akawa siyo mwaminifu..

Usikate tamaa mkuu! Mola akufanyie wepesi.
 
Back
Top Bottom