Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu

Kijana yenu nipo hapa kwa mtu yeyote ambaye anataka kuniagiza kitu

Unaweza kuwa na uaminifu huo lakni jamii kubwa inayotuzunguka na matukio yaliyotokea na yanayotokea watu kukuamini ni kazi sana mkuu.

Uaminifu unawezakuwa nao wewe shida ikaja kwa mteja wako akawa siyo mwaminifu..

Usikate tamaa mkuu! Mola akufanyie wepesi.
Asante sana kaka kuhusu mteja kutokuwa muaminifu itakuwa changamoto ya kazi
 
Ungeweka kila kitu wazi kwa mfano unasema kila bidhaa 3,000 hapo bora ungeweka kwa Kg maana kama ni bidhaa nikikutuma mashine kubwa utachaji 3,000?
Na usafiri vipi kwa mizunguko ya Dar
Maana tunaijua labda uwe na usafiri wako

Ila bado hujaeleza mengi
Kuuendea mzigo na kuupeleka kwa wakala unatoza hiyo 3,000 au zaidi?
Kila bidhaa za aina moja ni 3000 zikiwa aina nyingine 3000 jumla 6000 kuhusu gharama za usafiri ni juu yako unaniagiza kazi yangu ni kukufikishia sehemu husika natumain umenielewa mkuu
 
Acheni kudiscourage vijana wanaopambana, unajua huku Africa mambo hovyo Kila mtu ni kuingiza fitna katika Kila jambo...

Mkuu wewe pambana nenda na Facebook, na Instagram uwe na official page utatoboa, kuwa na Imani sali sana utatoboa.

Kumbuka Ili ufanikiwe ukiwa Africa haitegemei ufanisi wala ubora wa bidhaa/huduma...

Inategemea uimara wako kiroho...

Utafanikiwa, kina Alibaba na Amazon zilianza Kwa uchanga...
 
Acheni kudiscourage vijana wanaopambana, unajua huku Africa mambo hovyo Kila mtu ni kuingiza fitna katika Kila jambo...

Mkuu wewe pambana nenda na Facebook, na Instagram uwe na official page utatoboa, kuwa na Imani sali sana utatoboa.

Kumbuka Ili ufanikiwe ukiwa Africa haitegemei ufanisi wala ubora wa bidhaa/huduma...

Inategemea uimara wako kiroho...

Utafanikiwa, kina Alibaba na Amazon zilianza Kwa uchanga...
Ok sawa mkuu asante sana maneno yako yamenitia moyo 🙏
 
Wazo zuri -Good idea

Kuna watu huitwa negative people hawa huwa wanakosoa kila kitu huwa hawapendi kuona start up ya MTU.

Then kuna watu huitwa positive people hawa huwa wanaelewa uhalisia wa maisha .

Hivyo keep God first na usimjibu MTU anayekusoa bali yule anayekupa constructive criticism.

Utafanikiwa .
 
Wazo zuri -Good idea

Kuna watu huitwa negative people hawa huwa wanakosoa kila kitu huwa hawapendi kuona start up ya MTU.

Then kuna watu huitwa positive people hawa huwa wanaelewa uhalisia wa maisha .

Hivyo keep God first na usimjibu MTU anayekusoa bali yule anayekupa constructive criticism.

Utafanikiwa .
Asante sana mkuu pia nitazingatia ushauri wako 🙏
 
Back
Top Bottom