Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
Nataka kwenda china nifanyie mpangoDude you are seriously sick and you need immediate therapy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kwenda china nifanyie mpangoDude you are seriously sick and you need immediate therapy
Acha moshi dogo.Labda kufunika uapisho wa Rais wa Marekani kwa ushirikina
Hujaona hapo hadi BBC imeripoti habari hiyo inayotikisa Duniani Kwote? Au wewe ni kipofu?Basi nimefungua Uzi wako nikitegemea kuona utakuwa umeambatanisha na picha ya viongozi wa maccm akiwemo Samia mwenyewe ikiwa kwenye kurasa ya mbele kabisa ya gazeti kama NEW YORK TIMES au Washington Post, kudhiirisha kwamba Dunia inamuongelea Samia na CCM yake..... Kumbe magazeti yenyewe unayotwambia ni uhuru? au siku hizi hayo mgazeti yenu na yenyewe yanasomwa ulimwenguni kote?
BBC Swahili sio?Hujaona hapo hadi BBC imeripoti habari hiyo inayotikisa Duniani Kwote? Au wewe ni kipofu?
Wivu tu ndio unakusumbuaBBC Swahili sio?
Sasa hiyo si ni kama local channels tu sawa na StarTv, ITV au EATV maana hata audience yake sehemu kubwa ni Swahili speakers au wanao comprehend kiswahili... Na nje ya mipaka ya Africa mashariki hakuna anayeifuatilia hiyo BBC Swahili, Sasa nakushangaa unavyotaka kutuaminisha eti habari yake imefuatiliwa Dunia nzima, ufahamu wako ni duni sana wewe jamaa.
Hao wataishia kupigana tu na kutoana ngeuSubiri magazeti ya jumatamo nayo yatapambwa kwa bluu, nyekundu na nyeusi. Ngoma itakuwa droo
Futa ujinga wako hapa jukwaaniAcha moshi dogo.
Kwa akili ipi aliyonayo hadi dunia imjadili?!.Rais Samia ndio habari ya Mjini kwa sasa. Dunia nzima inajadili habari za uteuzi wa Rais Samia.
Huwezi ukaelewa kwa sababu huna akili.Kwa akili ipi aliyonayo hadi dunia imjadili?!.
Ndugu zangu Watanzania,
CCM ndio habari ya Mjini, Rais Samia ndiye Habari ya Dunia na Tanzania ndio inayovuma Dunia Kwote.
Kwa Sasa habari inayovuma na kuteka mijadala mitaani na Dunia nzima kwa ujumla wake ni juu ya uteuzi wa Rais Samia kuwa Mgombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika mwishoni mwa mwaka huu 2025 .
huku Balozi DKT Emmanueli Nchimbi akipendekezwa kuwa Mgombea Mwenza wa Rais Samia.
Leo ukipita kila gazeti na magazeti yoote Nchini yametawaliwa na kijani tupu Utafikiri uoto wa mlima kilimanjaro.huku Rais Samia akiwa kateka kila habari na kila gazeti katika kurasa zake z a Mbele. Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu.
Huwezi ukashindana na aliyeinuliwa na kupewa kibali na Mungu.Rais Samia kainuliwa na Mungu Mwenyewe na hivyo huwezi kushindana naye.View attachment 3207014View attachment 3207015View attachment 3207016View attachment 3207017View attachment 3207018View attachment 3207019View attachment 3207020
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
We chawa njaa kali vipi na ww ulipata posho ya dodoma ama bado unasubiria ahadi ya teuzi ya mkuu wa wilaya?...Kama BBC ya uingereza inajadili habari za Mheshimiwa Rais Samia.Kenya ni nani mpaka waikwepe habari kubwa kama hiyo?
Mimi ni mkulimaWe chawa njaa kali vipi na ww ulipata posho ya dodoma ama bado unasubiria ahadi ya teuzi ya mkuu wa wilaya?...