Kijani yatawala Magazeti Yooote. Rais Samia ateka mijadala yote Duniani

Hujaona hapo hadi BBC imeripoti habari hiyo inayotikisa Duniani Kwote? Au wewe ni kipofu?
 
Subiri magazeti ya jumatamo nayo yatapambwa kwa bluu, nyekundu na nyeusi. Ngoma itakuwa droo
 
Hujaona hapo hadi BBC imeripoti habari hiyo inayotikisa Duniani Kwote? Au wewe ni kipofu?
BBC Swahili sio?

Sasa hiyo si ni kama local channels tu sawa na StarTv, ITV au EATV maana hata audience yake sehemu kubwa ni Swahili speakers au wanao comprehend kiswahili... Na nje ya mipaka ya Africa mashariki hakuna anayeifuatilia hiyo BBC Swahili, Sasa nakushangaa unavyotaka kutuaminisha eti habari yake imefuatiliwa Dunia nzima, ufahamu wako ni duni sana wewe jamaa.
 
Wivu tu ndio unakusumbua
 

Are you for real nigga ?
 
Kama BBC ya uingereza inajadili habari za Mheshimiwa Rais Samia.Kenya ni nani mpaka waikwepe habari kubwa kama hiyo?
We chawa njaa kali vipi na ww ulipata posho ya dodoma ama bado unasubiria ahadi ya teuzi ya mkuu wa wilaya?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…