- Thread starter
- #21
Piga simu upewe maelekezo mkuutunajifunzia wap sasa[emoji3] count me in
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga simu upewe maelekezo mkuutunajifunzia wap sasa[emoji3] count me in
Karibu kiongoziUko sahihi pia
Mfano: wie geht Dir?Matamshi
Mfano: ich heiße JohnHapana kaka lugha nyepesi sana,ni style ya ufundishaji tu
Hebu tamka hiyoMfano: wie geht Dir?
Kuna ugumu gani sasa hapo
Vii get ez dia?Hebu tamka hiyo
Umbeya tuu mwanaume mzima sijui unafaidika nini
Sisi tuna taka fursa tu za kupata ajira kiongozi, mbona tunaishi nao hawana tatizo..history nyingi zinazo wahusu wazungu na ubaguzi wao nyingine zilihusu kipindi cha utumwa zaidi..siku hizi hayo mambo hakunaKatika watu nawachukia ni wajerumani, walitutawala lakini hawajawahi kutoa fair kwetu kama kulipa fadhila, mtz imekuwa ngumu kuingia ujerumani tofauti na wenzetu congo kuingia france
Unatoa B1, B2 auNdugu,
Karibu kujifunza lugha ya KIJERUMAN upate fulsa za kutosha katika maisha na kupata kipato kwaajiliya maisha.
1.kijeruman kama communication language.
2.kijeruman unaombea visa ubalozi,bila hii lugha yao ubalozi wa ujeruman hawakuelewi.
3.mashule mengi sasa wanatafuta walimu wa KIJERUMAN.
4.kijeruman kinakupa nafasi ya kufanya kazi za kujitolea kisha kuajiliwa kabisa Ujeruman
5.kijeruman kina wapa vijana kufanya Aur pair nchini ujeruman. Kwa mkataba wa mwaka mmoja mmoja euro 800 kwa mwezi.
6.hawezi kusoma chuo nchini ujeruman kama haujui lugha yao ili ulipwe kama mwanachuo.
7.kinahitajika mahotelin na kwenye utalii kwa sasa.
Sasa sisi tumeamua kwenda nyumba nyumba kwa hapa Dar es salaam tu.
Tupigie kwa namba 0715784787 tukuhudumie
Tuna fundisha kuanzia A1,A2,B1.1 na B2Unatoa B1, B2 au
Cheti chenu kina tambulika!?Tuna fundisha kuanzia A1,A2,B1.1 na B2
Hapana kaka hapa ni tuation tu ,mitihani yote ni Goethe InstituteCheti chenu kina tambulika!?
Bei gani B2Hapana kaka hapa ni tuation tu ,mitihani yote ni Goethe Institute
Pn au nipigie kwa namba ile pale juu kiongoziBei gani B2
Bei ni siri mkuu auPn au nipigie kwa namba ile pale juu kiongozi
Lugha ngumu kuliko zote
Ich bin Sa 7 mchanaMfano: wie geht Dir?
Kuna ugumu gani sasa hapo
Ja ,si unaona umewezaIch bin Sa 7 mchana