SI KWELI Kijiji kizima chafutwa kwa tetemeko la ardhi nchini Morocco isipokuwa majengo mawili tu ya Msikiti

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mungu wa kweli hawezi kubakisha msikiti unaoswaliwa na imani iliyo kinyume naye, labda mungu wa kwao asiye Mungu wa Israel. matendo yao ni ushahidi wa wanachoamini.
Uko sahihi mkuu
Kidini Mungu (anaweza kuepusha vyote) hahusiki hapo kwenye kubakia msikiti na hiyo nyumba moja
 
Unakufuru siyo? Kama ni dhambi kuna nchi yenye dhambi kama Tanzania?
 
Kungekuwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kusingekuwa na tetemeko la ardhi lolote, popote wakati wowote to begin with wewe bwege mtozeni.
Mungu wa Islam sio hana upendo wote, Chek your facts
 
Mungu wa Islam sio hana upendo wote, Chek your facts
Hujui hata majina ya Mungu katka Kiislamu.


Ar- Rahmaan, Ar-Raheem

The beneficent. Most gracious, most merciful.

He who wills goodness and mercy for all His creatures

He who acts with extreme kindness

Sasa kama Mungu huyo yupo kweli, na ana upendo wote, uwezo wote, ujuzi wote, kwa nini aumbe ulimwengu ambao unaweza kuwa na tetemeko la ardhi wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hakuna tetemeko hata moja linaloweza kutokea?
 
Samahani, hii Umeitoa wapi?
 
Mimi mkristo lakin wewe apa unakosea
 
Inaonesha wakazi wa hapo ni masikini sana wasiweze kujenga nyumba imara. Jengo pekee bora na imara ni hilo lililojengwa na aidha serikali au wafadhili, kama sio michango yao wenyewe.

Funzo: Wanadini ni wapuuzi, wameacha RAIA wafe, wamejali uimara wa jengo, sasa wafuge mbuzi humo ndani liwe na tija.
 

mungu wa kweli ni nani?
 
Binadamu wa kwanza tangu nione jua kuona anafurahia vifo kwa binadamu wenzake

Dont tell me huyo mungu wa kweli ni man made
 
Hivi .miujiza ya kiislam ni ya madhara tu huenda ndio maana wanapinga sana uponyaji.
 
Naona nyie amuangalia hata talifa zakimataifa hashimu haebara wa aljazeera mvona anali report tukio hili kala baada ya saa kwenye taarifa za habari akiwa eneo la tukio au hujui kiingereza kabisa, ila ungeona picha tu.
Naona umeanza kuhubiri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…