Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna kinachoshindikana mkuu jf pia inatakiwa ichangamkeie fursa media km hii inaporuhusu vipaji vichukue nafasi kuna uwezekano mkubwa wa kuvutia watazamaji sana na wasomaji wengi sana east africa kujoin jf hii itasababiba makampuni mengi pia kuvutika kuleta matangazo yao humu km youtube unakutana na tangazo kwanza....ubunifu ni pesa..Hiv mzee inawezekana kuingia mkataba na hawa mabepari wa jf? Wakulipe?
Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
Bila kusahau alimkatili mjomba asirekodiwe kwenye mkanda wa mazishi ya mama yake.Huyu mjomba wako ni katika wale wachache watakao ingia mbinguni. Pamoja na kumkana kwa traffic, kumtorosha house girl wake lakini anakuletea barakoa usipate corona.
[emoji23][emoji23][emoji23] ile siku nilicheka Sana nilivyosoma ule UziBila kusahau alimkatili mjomba asirekodiwe kwenye mkanda wa mazishi ya mama yake.
Wewe haukucheka kama mimi.[emoji23][emoji23][emoji23] ile siku nilicheka Sana nilivyosoma ule Uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahau alimkatili mjomba asirekodiwe kwenye mkanda wa mazishi ya mama yake.
Ha ha ha ile ilikuwa kiboko ila inafikirisha, just imagine umetoa hela ya mazishi na gharama zote ikiwemo video recording afu unakuja kuangalia CD hujioni, hata mimi ningekuwa ni uncle ningemindBila kusahau alimkatili mjomba asirekodiwe kwenye mkanda wa mazishi ya mama yake.
Mbaya zaidi amejirekodi yeye sehemu kubwa. Eti ameenda na camera man hadi nyumbani kwao achukuliwe mkanda. CD nzima kajaa yeye.Ha ha ha ile ilikuwa kiboko ila inafikirisha, just imagine umetoa hela ya mazishi na gharama zote ikiwemo video recording afu unakuja kuangalia CD hujioni, hata mimi ningekuwa ni uncle ningemind
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa sikulaumu.Nmekununuia
KwannNi sawa sikulaumu.
Kwasababu hujui sababuKwann
Haha naijua aiseeKwasababu hujui sababu