Kijijini watu ni wakatili chunga sana wake za watu

Kijijini watu ni wakatili chunga sana wake za watu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Usije ukaenda kijijini ukapata mwanamke kumbe ni mke wa mtu. Watu wa kijijini sio wastaarabu ndugu zangu watakuangalia wanakusomea nyendo zako usije kushangaa unatenganishwa kichwa kama kumbikumbi. Chunga sana unapoenda vijijini usijione wa mjini ukadhani wanawake watakaokushobokea ni kutaka hela tu. Mjini matumizi madogo maisha magumu kote maisha kila sehemu watu wajanja. Ukienda kijijini ukafanya umalaya utaonekana wewe ndo mshamba. Chunga chuga.
 
in short kijijin is not a safe place to live,
refer: yule daktari alieuwawa na wakurya kisa tu yeye sio mkurya lakn anafanya kazi kwa wakurya
 
Back
Top Bottom