Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Ohoooo!![emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]hainaga,makombo ile...
katoka kwa kajala,kahamia hukoo
Sana.Ni aibu...
Ohoooo!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Ukiona hivo ujue KAHABA ni zuri kuliko MKEWE!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Wewe ukiwa na Biashara ya a million 50 huwezi kuanzisha ya mil 3. Cha Msingi utakuwa unazimiliki zote hujaambiwa uchague moja.
Mchana anapiga Ziara ya kustukiza Makongo anakula Mzigo jioni anakuja kula cha halali Nyumbani
du kiongoz umeniburudisha kwa maneno yako ya used nzuri.Mwanamke kahaba hua ni wataalam wa mapenzKuongea vitu visivyo na ushahidi ni umasikini wa kifikra, haina tofauti na umbeyaa.
Watoto wa kiume mnakuwa wambeyaa kiasi hiki kuliko hata dada zenu..!? Ni hatari kwa Taifa.
Tunajua wauza madawa nao ni watu wenye uwezo hivyo lazima wamchafue Mh mkuu wetu wa Mkoa, napenda kumwambia, Watanzania Wanyonge tupo nyuma yake na Mungu atambariki kufikia lengo lake.
Hata kama kapanga nyumba makongo sio shida kwa sababu pengine kapanga ili apate taarifa na mtandao mzima wa mashetani yanayo tuletea madawa ya kulevya.
Watanzania tunatakiwa tuipe dola nafasi, kwa style hii tutawavunja nguvu watetezi wetu na Taifa kuhangamia kabisa na madawa ya kulevya.
NB kwa faida yenu, hakuna mwanamke anaejua kubembeleza mwanaume, kama mwanamke alie tumika sana na mwenye kilometa nyingi. Ukitaka kuenjoy barabara tafuta Gari lenye engine kubwa kama V8.
akipita jf huu[emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ukiona hivo ujue KAHABA ni zuri kuliko MKEWE!
Aibu..sijui ni ushamba??amejiuza south Africa mpaka wamemchoka huyo aliempamgishia nyumba huko Makongo sijui ana akili gani aisee....kiongozi mzima kumpangishia nyumba huyu ni kujidhalilisha tu
Juu ndo umbeya persay.kivideo ujakiona ila ume comment,hiki sio kile alichopost mange mkuu hiki ni kingine!!Alafu iyo sauti kwenye hiyo video kama ya madereva [emoji849][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hainaga,makombo ile...
katoka kwa kajala,kahamia hukoo
Na amemdhalilisha Mke wake wa ndoa.. Kamuweka kimada kahaba mkubwa.. Wapopo wamechapa Sana lile shuzi Kule Sauzi...
Wife akionyweshwa hiyo video ya Maso, na muziki wa 'moyo sukuma damu' unasikika kwa mbaali mwenyewe atakubali matokeo......sanasana atajikuta anauliza kwa unyonge 'mimi utaniacha?'Uongozi ni kazi kweli..
Hivi mke wa mpambanaji wetu, mungu wa dar akisikia tuhuma za huyu binti kupangiwa kajumba anapika kweli??
Atatishwa na huo mtaji unaonesea hapo nyuma?Wife akionyweshwa hiyo video ya Maso, na muziki wa 'moyo sukuma damu' unasikika kwa mbaali mwenyewe atakubali matokeo......sanasana atajikuta anauliza kwa unyonge 'mimi utaniacha?'