Kijivideo: Masogange akiwa nyumbani kwake Makongo

Kwani Wewe ukiwa na Biashara ya a million 50 huwezi kuanzisha ya mil 3. Cha Msingi utakuwa unazimiliki zote hujaambiwa uchague moja.

Mchana anapiga Ziara ya kustukiza Makongo anakula Mzigo jioni anakuja kula cha halali Nyumbani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kawaida sn hata ww uliye naye ujue watu wanapita kwa muda wao usijisahau ukahs uko alone ndugu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dude hilo tamu kuchezea chezea msebwenda huo...lakini tukija upande wa machine hamna kitu miles zimetembea mno!
 
Kimada huyu ametumika sana,ni aibu mtu yeyote kuonekana unaingia kwake.
 
Ni hpo ndo nawashindwa bongo movie yaani ukimpangishia unakula hdi o,naona wanaaleji nakujengewa!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
mi hata sielewi wanafumuliwa tu,.. mi nadhani ningekuwa na nyumba za kutosha tu sababu ningekuwa napokea kodi kwenye nyumba yangu haah aaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…