Tafuta vibali ili dreva wa kisasa si vinapatikana katika ofisi husika.Changamoto ni vibali mkuu
Zilete mgeninan hukuHabari za muda huu ndugu wanafamilia wa jamiiforums, baada ya kuzunguka sana kutafuta kijiwe cha kupeleka bajaji kupiga kazi na kukutana na garama kubwa sana za viingilio, nimekuja kwenu wadau wa hivi vyombo mnisaidie ni kijiwe kipi ntaweza kuingia kwa garama za kawaida (nafuu) kwa kipindi hiki cha hali ngumu, ahsanteni.
aiseeLaki tano mpaka tatu
Kijichi huku.Ni wapi huko?
Ila uje na dereva wako mana au usimamizi uwe madhubuti tu mana hawa wazawa huku wamelandukaSawa sawa
Unga dambwe tu.Unauzoefu na garama za huko?
Mazingira unayo ishi ni Mazur mana kuzisimamia inakuwa rahisi. Sikushaur upeleke mbali. Kuna uzi niliandika humu bajaj jamaa zangu walivyofeli
unaishi wapiHabari za muda huu ndugu wanafamilia wa jamiiforums, baada ya kuzunguka sana kutafuta kijiwe cha kupeleka bajaji kupiga kazi na kukutana na garama kubwa sana za viingilio, nimekuja kwenu wadau wa hivi vyombo mnisaidie ni kijiwe kipi ntaweza kuingia kwa garama za kawaida (nafuu) kwa kipindi hiki cha hali ngumu, ahsanteni.