KIJIWENI LEO: Dakika 120 kuamua matokeo kati ya Chelsea na Barcelona kesho

KIJIWENI LEO: Dakika 120 kuamua matokeo kati ya Chelsea na Barcelona kesho

heey! najua umekuja kasi ukitaka kuporomosha data na takwimu kuhusu mchezo wa Chelsea na Timu inayo ongozwa na mchezaji bora wa dunia L.M

wakati meingine hisia huweza kuwa sahihi zaidi ya hizo data na takwimu. nina hisia kwamba kesho mchezo huo utaisha kwa sare na hivyo kulazimika kuongeza dakika zileeee ..! na hivyo matokeo kuamuliwa baada ya dakika hizo za nyongeza


MUHIMU: hisia hizi sio lazima ziwe 100% correct.

dokezo dogo- kesho besiktas atashinda dhidi ya mpinzani wake Beryan munich hivyo kwa mnao beti kwenye mechi hii wekeni mzigo wa kutosha.

yapi maoni yako?


NOTED.


noted

rekebisha,mchezaji bora wa Dunia ni Cristiano Ronaldo
 
Back
Top Bottom