Kijiweni na Mashabiki wa Ndala

Kijiweni na Mashabiki wa Ndala

Leo angalieni mpira wenye hadhi na ladha zakutosha kutoka timu bora kabisa Tanzania.Maigizo ya jana tuachane nayo tukaangalie mechi halisi.
 
Hawa mbumbumbu fc wanajidanganya lakini ukweli wanaujua kuwa ubingwa watauona azam tv na wakijitahidi labda wakaibe hilo kombe
 
Nikiwa nishaanza shamra za kusherekea ushindi mzito wa leo wa Simba S.C dhidi ya Ruvu.. Nipo kijiweni na mashabiki wa Ndala wakiwa wamenyong'onyea.. Kisa.. Mkata Umeme!!

Nasikia wakijadili kauli ya Kocha wao.. Kua Ndala wawe na uvumilivu na Mkata Umeme.. kwani jamaa alikua nje ya uwanja kwa mda wa miezi 6.

Hawa jamaa wamejiuliza maswali haya, wakakosa majibu;
1. Kabla ya kumsajili, Je walifahamu kua kwanini jamaa alifungiwa kucheza soka kwa mda wa miezi 6?
2. Kama walifahamu, kwanini walimsajili mtu ambaye hakua uwanjani mda mrefu?
3. Inakuaje Mkata Umeme analipwa zaidi ya milioni 5 akiwa benchi.. Huku wanaowapa ushindi mkiwalipa laki 8?
4. Twite alitimuliwa kisa umri.. Je mna taarifa Mkata Umeme ni kinda la miaka 36?

Wakuu zangu Sibonike Belo Nifah Guasa Amboni demigod Nyenyere juan de otaru libeva Blank page Konaball Mwana Mtoka Pabaya Bailly5 babake nasreen Frank Wanjiru Ulimakafu bila kumsahau ndugu yenu Makoye Matale... naomba mnipatie majibu.. niwape hawa Ndala kindakindaki wenzenu.

Muhudumu fanya mambo haya mawili mda huu, kipindi nasubiri majibu;
1. Niongezee kinywaji
2. Ongeza sauti ya huo wimbo... "... ama kweli wajinga ndo waliwao.. kekundu.. kekundu.. kekundu... ".
SHILAWADU FC kwa midomo amuwezekani kama yule msemaji wenu na yule chotara wa kijerumani na kihehe bila ya kuitaja Yanga siku aishi vizuri!!!!!
 
SHILAWADU FC kwa midomo amuwezekani kama yule msemaji wenu na yule chotara wa kijerumani na kihehe bila ya kuitaja Yanga siku aishi vizuri!!!!!
Mkuu ni Ndala wenzako wanahitaji majibu ya hayo maswali.. Mimi nishakamata siti yangu hapa nasubiri kushuhudia soka la uhakika.
 
Kumbe umeishswasha simu tayari.
Duh baiskeli yenu mwaka huu bado inadai. Hongera kwa leo na kagoli hako kamoja lakini point zenu tatu
mwendo ndo huu huu mpaka mwisho wa ligi.
 
Hatimae rungu limevunjwa.Heri ya mwaka mpya kwa Masau Brire na watani zangu vyura fc.
 
Vyura FC sasahivi taabani Baada Ya Mnyama Kumdungua Ruvu... 😀😀
 
Mkuu naihifadhi hii kauli yako.. Nitarejea baada ya dk. 90.

ANGALIZO: Leo sipo eneo korofi.
Mtani tizama uzuri huu ushindi mwembamba mwembamba hauashirii kama huko mbele patakuwa pazuri kuweni makini
 
Back
Top Bottom