Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

Naombeni kujua malengo ya uanzishwaji Wa dini hizi mnazotetea na kugombania. Binafsi nadhani kila taasisi kwa wakati wake itafanya mambo yaifurahishayo kwa wakati huo ili iweze kuishi. Mfano,kipindi kabla ya wakoloni,mfalme alichoamuru ndicho kilichoonekana kinafaa na aliyepinga alikufa,lakini sasa twaona huo ni unyama,kipindi cha mwarabu na utumwa,kuchukuwa watu na kuwapeleka kama watumwa ilikuwa sawa na aliyepinga alionekana hafai ikiwezekana alikufa. Kipindi cha mzungu aliyepinga ukoloni alionekana adui na ikiwezekana alikufa. Sasa kwetu ukiwa kinyume bungeni utaonekana kibaraka,lkn wakati ujao waonekanao vibaraka kwa sasa wataonekana nashujaa. Hata katika dini haya yapo,ili ikuwe ni lazima kutumia udhaifu Wa mwingine ili ujihalalishie wewe. Mfano baada ya Imani ya kuisha kwa duinia kutoka kitabu cha Daniel iliyohubiriwa na mhubiri Wa kibabtist kushindwa,Hellen Gabriel White na Mumewe Gabriel Springer White na wenzao watano wakitumiwa na America ili kupunguza ushawishi Wa Ulaya kwa Ulimwengu ili America iimarike ,walilazimika kuanzisha dini mpya yenye mlengo Wa kutazamia ujio "Advent" na kuchukuwa amri kumi kama msingi ZIKIKISAIDIWA na Biblia. America alipomaliza alichohitaji kwa kuona alichoumba hakina ushawishi mkubwa,alikuja na mfumo mpya wenye mvuto zaidi ambao ulipewa jina la kuzaliwa Mara ya Pili ambao kwetu una jina maarufu la ULOKOLE. Kila taasisi ikichimbwa kwa undani in madhaifu mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo chabo chuga dogo chelewa itakupotezea jicho [emoji86] [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app


HII SI CHABO CHUGA NDOGO YA HAWA WATAKATIFU MASHOGA MNAOWAOMBA



Religion

Vatican priest James Martin: Some saints were probably gay


Ads by Kiosked

Vatican priest James Martin says that 'some saints were probably gay'

A Catholic priest has hit back at homophobes by saying that some saints were probably gay.

Pro-LGBT Jesuit Father James Martin replied to a homophobic comment on his Facebook page by noting that, with a percentage of people being gay, it was highly likely that many saints were too.
 

Attachments

  • upload_2017-8-2_18-47-45.jpeg
    16.6 KB · Views: 32
Nimekwambia kisilamu silamu umepatia unacho bishia sio chabo nini [emoji45] kama vipi wapeleke mahakamani ushahidi kumbe unao [emoji106] unaturushia mate humu ili iweje [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah huyu dogo siku zote anaambiwa anapodhani ameshikilia aangalie asije akaanguka. Ona vimada alivyokuwa anavianzisha vya kishetani kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata wewe si unaweza kujibu kwa kugoogle kama unadhani jamaa kafanya hivyo!? Mbona rahisi sana. Maswali yanayoletwa na facts za google yajibiwe na facts zinazotolewa google au nyingine ambazo ni bora kuliko hizo
Unamjibu vipi mtu ambaye hata naye si mkamilifu..???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AROON
JF-Expert Member, 23
AROON was last seen:Jan 3, 2017 at 8:36 AM
About
Birthday:Jan 11, 1993 (Age: 23)
Interact
Content:
Find all content by AROON
Find all threads by AROON
Conversation:Start a Conversation
Signature
YHWH IS GOOD ALL THE TIME !!
Toa hoja na nukuu, usikasirike, utashindwa ukikasirika
 
Tumwache Aroon aje ajieleze mwenyewe
 
Utaamua Mwenyewe mahakamani ya kuwapeleka hata kwa mjumbe..wee peleka ushahidi si unao [emoji15] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaamua Mwenyewe mahakamani ya kuwapeleka hata kwa mjumbe..wee peleka ushahidi si unao [emoji15] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama yenu ya makardinali wapiga mduara Roma huiamini ???



HII SI CHABO CHUGA NDOGO YA HAWA WATAKATIFU MASHOGA MNAOWAOMBA



Religion
Vatican priest James Martin: Some saints were probably gay

Ads by Kiosked

Vatican priest James Martin says that 'some saints were probably gay'

A Catholic priest has hit back at homophobes by saying that some saints were probably gay.

Pro-LGBT Jesuit Father James Martin replied to a homophobic comment on his Facebook page by noting that, with a percentage of people being gay, it was highly likely that many saints were too.
 
Kumbe udaku, fitna, kijuba cha Roho...nimekwambia ushahidi unao wachukulie RB wakamatwe kisha wapeleke kwa pilato wakanyee mtondoo [emoji106] unabakia kutupigia kelele humu [emoji15] [emoji13] hata fedheha huna umbea umekujaa mpaka ****'kalio [emoji10] [emoji33] [emoji33]

Sent using Jamii Forums mobile app
 


USIKASIRIKE UMEYATAKA MWENYEWE KWA KUJIUNGA UCHAWINI TULIA TUKUTUMBUWE NGAMA๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›

ZAWADI YAKO HII


The Secret Lives of the Vaticanโ€™s Gay Cardinals, Monks, and Other Clergy Members




The Vaticanโ€™s Secret Life

Despite headlines about a powerful โ€œgay lobbyโ€ within the Vatican, and a new Pope promising reform, the Catholic Churchโ€™s gay cardinals, monks, and other clergy inhabit a hidden netherworld.

In Rome, the author learns how they navigate the dangerous paradox of their lives.



 

Attachments

  • upload_2017-8-3_14-44-46.jpeg
    87.9 KB · Views: 34
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ