Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nitafika hapo
Nenda kale raha kama unapaona pa kawaida
We mwache tuuHuyo jamaa anasema kisiwa cha kawaida?
Mtahadharishe kama anapesa za mawazo asiefikirie kwenda. Lazima ajipange.
Nataka niende Chumbe!We mwache tuu
Watu wanapenda ufree hatari, kuna wafanyakazi watz huko?Hicho kisiwa watu hukaa na kutembea uchi bila wasiwasi wowote
Huruhusiwi kuingia, hadi uwe umelipia malazi kwa siku sabaDu island safi hivyo
Nategemea kwenda Pemba 2022 kusalimia jamaa
Ngoja nijiongeze hata siku moja tu kisiwani hapo ila ntatafuta wa kukaa nae hiyo siku moja hapo
Wakachafua sana mashukaInasemekana shoga Elton alipo olewa na bwana wake alipelekwa pale kuliwa honey moon ....
Haha hahah anadhani Mnemba ni sawa na vigesti alivyovizoea kwao TandaleHuyo jamaa anasema kisiwa cha kawaida?
Mtahadharishe kama anapesa za mawazo asiefikirie kwenda. Lazima ajipange.
Jipange mkuuNami nitafika hapo
Huruhusiwi kuingia, hadi uwe umelipia malazi kwa siku saba
Picha hadi ulipie dola 1600 aliye andika sidhani kama dola anaijuwaPicha ikwapi sasa?
Huruhusiwi kuingia, hadi uwe umelipia malazi kwa siku saba
Huruhusiwi kuingia, hadi uwe umelipia malazi kwa siku saba
Watanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.
Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).
Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .
Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.
Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.
Poa utaweza kufanya scuba diving.
Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.
Ardhi ni mali ya JMT sasa inakuwaje Gates anakimiliki?Watanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.
Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).
Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .
Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.
Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.
Poa utaweza kufanya scuba diving.
Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.