Kijue kisiwa cha Mnemba, kilichopo Zanzibar, kinachodaiwa kumilikiwa na Bill Gate

Kijue kisiwa cha Mnemba, kilichopo Zanzibar, kinachodaiwa kumilikiwa na Bill Gate

images.jpeg-22.jpg
 
Huyo jamaa anasema kisiwa cha kawaida?

Mtahadharishe kama anapesa za mawazo asiefikirie kwenda. Lazima ajipange.
Haha hahah anadhani Mnemba ni sawa na vigesti alivyovizoea kwao Tandale
 
Watanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.

Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).

Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .

Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.

Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.

Poa utaweza kufanya scuba diving.

Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.

Ngoja kwanza Chief
Dola 1600 kwa usiku mmoja ni kwa pesa yetu ni Tsh. 3,680,000.00 ukilipa kwa siku saba ni Tsh. 25,760,000.00

Yaani kwa kiswahili usiku mmoja ni milioni tatu na laki sita, alafu hizo siku saba unatakiwa kulipia milioni ishirini na tano na laki saba na elfu sitini.

Bado mambo mengine madogo madogo

Si hela ya kikokotoo kabisa hiyo[emoji23][emoji23]
 
Watanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.

Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).

Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .

Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.

Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.

Poa utaweza kufanya scuba diving.

Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.
Ardhi ni mali ya JMT sasa inakuwaje Gates anakimiliki?
 
Back
Top Bottom