Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
Haha hahahah nchi isha uzwa hiiiArdhi ni mali ya JMT sasa inakuwaje Gates anakimiliki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hahahah nchi isha uzwa hiiiArdhi ni mali ya JMT sasa inakuwaje Gates anakimiliki?
picha ni jambo la muhimu kuliko katiba mpya mkuuuHicho kisiwa watu hukaa na kutembea uchi bila wasiwasi wowote
Kwani kule kigamboni imeishia vipi ?Haha hahahah nchi isha uzwa hiii
Hakuna picha tuoneWatanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.
Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).
Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .
Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.
Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.
Poa utaweza kufanya scuba diving.
Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.
Hujaufuatilia uziHakuna picha tuone
Tuliuza Loliondo enzi za MwinyiKwani kule kigamboni imeishia vipi ?
Huko wanakaa akina Ndugai madalali wa nchi hii, Andrew Chenge mzee wa vijisenti,Tibaijuka mama wa pesa ya mboga.Ngoja kwanza Chief
Dola 1600 kwa usiku mmoja ni kwa pesa yetu ni Tsh. 3,680,000.00 ukilipa kwa siku saba ni Tsh. 25,760,000.00
Yaani kwa kiswahili usiku mmoja ni milioni tatu na laki sita, alafu hizo siku saba unatakiwa kulipia milioni ishirini na tano na laki saba na elfu sitini.
Bado mambo mengine madogo madogo
Si hela ya kikokotoo kabisa hiyo[emoji23][emoji23]
Unapenda kuangalia picha za uchi wewe,dah, shauri yako.picha ni jambo la muhimu kuliko katiba mpya mkuuu
Ardhi ni mali ya JMT sasa inakuwaje Gates anakimiliki?
Kwamba DON NALIMISON nae aende huko auhizi ndo sehemu za madon kwenda kutumia...
Mkumbushe awe amechanjwa CovidWatanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.
Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).
Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .
Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.
Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.
Pia utaweza kufanya scuba diving.
Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.
Kama ni shoga unaweza kupata kazi ila uwe mrembo nchi imepigwa mnada siku nyingi na inaendelea kupigwa mnadaWatu wanapenda ufree hatari, kuna wafanyakazi watz huko?
Thanda Island kule Mafia ndo mwisho wa maneno, kinamilikiwa na matajiri wa Kiswedeni, exclusive luxury for the Super RichWatanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.
Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).
Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .
Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.
Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.
Pia utaweza kufanya scuba diving.
Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.