Kijue kisiwa cha Mnemba, kilichopo Zanzibar, kinachodaiwa kumilikiwa na Bill Gate

Kijue kisiwa cha Mnemba, kilichopo Zanzibar, kinachodaiwa kumilikiwa na Bill Gate

Watanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.

Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).

Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .

Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.

Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.

Poa utaweza kufanya scuba diving.

Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.
Hakuna picha tuone
 
Huko ndiko pa kwenda kula raha
Siyo mnajazana tu Beach kidimbwi

Ova
 
Ngoja kwanza Chief
Dola 1600 kwa usiku mmoja ni kwa pesa yetu ni Tsh. 3,680,000.00 ukilipa kwa siku saba ni Tsh. 25,760,000.00

Yaani kwa kiswahili usiku mmoja ni milioni tatu na laki sita, alafu hizo siku saba unatakiwa kulipia milioni ishirini na tano na laki saba na elfu sitini.

Bado mambo mengine madogo madogo

Si hela ya kikokotoo kabisa hiyo[emoji23][emoji23]
Huko wanakaa akina Ndugai madalali wa nchi hii, Andrew Chenge mzee wa vijisenti,Tibaijuka mama wa pesa ya mboga.
 
Ardhi ni mali ya JMT sasa inakuwaje Gates anakimiliki?

Masikini nchi yangu
Haki hakuna kabisa, Diaspora aliezaliwa Tz na wazazi bado wapo ila akirudi kujenga Lukuvi anamwambia huna haki hapa
Ila mzungu anapewa tena na bags zake anambebea
Utumwa hautaisha
 
Watanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.

Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).

Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .

Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.

Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.

Pia utaweza kufanya scuba diving.

Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.
Mkumbushe awe amechanjwa Covid
 
Watu wanapenda ufree hatari, kuna wafanyakazi watz huko?
Kama ni shoga unaweza kupata kazi ila uwe mrembo nchi imepigwa mnada siku nyingi na inaendelea kupigwa mnada
 
Watanzania wengi hawajawahi kusikia kuhusu hiki kisiwa kilicho maarufu kwa wapenda bata wa kimataifa.

Mnemba Island ni kisiwa kidogo kinachojitegemea , kilichopo kaskazini masharaki yapata umbali wa kilometa 3 kutoka Unguja. Mkabala na ufukwe wa Muyuni (Muyuni Beach).

Kisiwa hiki chenye umbo linalofanana na pembe tatu kina kipenyo cha 500 metres (1,640 ft) na mzingo wa 1.5 kilometres (0.9 mi) .

Kisiwa hiki cha maraha inasemekana kinamilikiwa na Bill Gates na ili uende huko yakupasa ulipie kabla huduma za malazi na chakula kwa siku saba, ambapo gharama za kitanda peke yake ni kati ya US$1155 hadi US$1600 kwa mtu mmoja kwa siku.

Ukifika kwenye kisiwa hiki utaweza kuwaona kwa jirani kabisa pombe (dolphins) wakiruka kwa furaha.

Pia utaweza kufanya scuba diving.

Wanaoruhusiwa kuingia kisiwani hapa ni wageni wale tu waliolipia na kuorodheshwa hotelier.
Thanda Island kule Mafia ndo mwisho wa maneno, kinamilikiwa na matajiri wa Kiswedeni, exclusive luxury for the Super Rich

images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom