Kijuso vs Aje remix ipi video kali ?

Inafanya vizuli kwenye na Je unajua kama hiyo ngoma ya mery me ni copy ya ngoma ya kcee iliyo toka mwaka 2014
Mbona umebadilisha mada? Ulisema kakosea timing coz kuna ngoma nyingi zimetoka, na hautoweza kutaja angalau moja iliyoyoka kipindi hiki iliyotrend zaidi yake! Sasa unasema kakopy bila kuitaja hiyo ngoma aliyoikopy, unaishia kusema ya kcee aliyoitoa cjui mwaka gani!! Si uingie youtube uweke link.
 
Hakuna ndoma ya Africa inayofanya vizuri kwa sasa zaidi ya marry you kuanzia Nigeria, south Africa, Zambia, Zimbabwe, Ghana, Uganda hadi Kenya, pamoja UK, Fanya utafiti
Huo nadhani utakuwa ni utafiti wa Twaweza.
 
Alikiba vs wcb (Diamond, rayvan, harmorapa tholliii harmonaiz, richard, queen darlin)...yaani timu nzima inashindana na mtu mmoja na anawatoa jasho...aisee muwe na hata ka aibu kidogo
Sijui nisemeje,heshima kwako mkuu.
Mkuu hawa wamezoea video zenye mimwanga ya kung'aa kama series za kikorea......waangalie Hello ya Adele rangi ya video yake na kabeba grammy za kutosha
 
Sikulazimishi, ila kama unaweza fuatilia media za hizo nchi,
Tangu marry you imetoka diamond ameshapata simu za booking Senegal,nigar , botswana, Ghana na cameroon.
Kijana amebanwa na ratiba kuanzia mwezi march na April ana Fanya tour ya UK na Neyo
ulikuwepo anavyopata hizo simu/ mbona watu mnapenda sana kujibebesha majukumu yasokuwa yenu au wewe ni Babu Tale au Zali
 
ulikuwepo anavyopata hizo simu/ mbona watu mnapenda sana kujibebesha majukumu yasokuwa yenu au wewe ni Babu Tale au Zali
Ngoja nikupe na hii exclusive, unamfahamu Burna boy? Ni mkali wa dancehall nigeria, unamjua shatta wale wa ghana? Huyu nae in Fundi wa dance hall
Kwa taarifa yako Burna boy amegoma kutoa ngoma waliomshirikisha diamond mpaka wafanye video, na diamond ndo anasubiriwa kuweka ratiba zake sawa.
Soon utaisikia na kuiona
Burna boy ft shatta wale & diamond platnumz
Jaribu kufikiri ubora wa hiyo kazi
 
Unajua mi bado cjaelewa ni ipi ilikuwa remix kati hii ya sasa na ile ya mwanzo, maana ukivuta kumbukumbu vizuri hii Aje alomshirikisha M.I ndo ilkuwa ya kwanza kutoka, na kwenye video yake ya kwanza tulitegemea kumuona huyo M.I , lakini cha ajabu tukaona ngoma kairemix kwa kuingiza lugha ya kifaransa katika verse ya M.I, leo tena tunaletewa aje Remix ambayo ndo ilikuwa original ktk first version tn kibaya hata hii huyo M.I pia hayumo,cjui wanapishana wapi na huyu jamaa aise....au mi ndo najichanganya wadau?
 
Unaonekana unafatiliaga sana video za upande wa pili mpk ushazikall
 
Wewe ndo unamakengeza nenda kaangalie tena
 
kwa sasa mimi ni team ben paul au navy kenzo....wengne wanazingua...mara kijuso. ....mara lupela....hivi hawa viumbe wanalewa sifa au?
 
Aje ni mbaya kama magoti yako

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]haya ndiyo mapovu niliokuwa nayataka inaonyesha hasira zako ningekuwa karibu ungenitemea cheche [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nafurahi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…