mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,162
- 3,088
Mbona umebadilisha mada? Ulisema kakosea timing coz kuna ngoma nyingi zimetoka, na hautoweza kutaja angalau moja iliyoyoka kipindi hiki iliyotrend zaidi yake! Sasa unasema kakopy bila kuitaja hiyo ngoma aliyoikopy, unaishia kusema ya kcee aliyoitoa cjui mwaka gani!! Si uingie youtube uweke link.Inafanya vizuli kwenye na Je unajua kama hiyo ngoma ya mery me ni copy ya ngoma ya kcee iliyo toka mwaka 2014