HahahahaBaada ya kuitambua dini ya haki, nikaachana na utumishi.
Ni kweli kabisa. Mapadri wengi 98% wana watoto.
Uliona wapi mwanaume rijali (mwenye mkuyenge) akaishi milele bila kupiga mambo???
Ng'ombe tu wewe, hukuwa padri wala nini. Hiyo dini yako ya haki ndio inafunza ile mitusi unayomwaga kwenye forums zingine?
Mzee ati hii attitute ni kitu gani?Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Eti padre.unavuta bhange?
Maana unachangamka kama mchuzi uliotiwa limao.
Akajipange tuu upya hapo mie sijaona siyo tuu mtu aliyewahi kuwa padre bali hata kuwa mkristo hajawahi
Very poor reasoning. Sina hakika kama ulisoma Falsafa au ulikuwa Kilaza. Yaani hii reason hata ukimwambia mtoto hatakuelewa. May be yo brain has some loosen natz!!!Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.
Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Kwa hiyo sasa hivi umeoa?
Mashaka au uoga ulikujaaa kwa kuona umesomea yoteee na kuishia kuyaishi na ulipoishia katika dini hiyo wakati huo?
Kwahio waumini wako ndio waliokufungulia acc hii hapa JF ?Sijiiti mimi.
Bali waumini wangu ndio wananiita mpaka hivi sasa.
Nilishawaambia zaidi ya mara 105 kuwa higi sasa naitwa: Ustaadh Aziz Deo.
Lakini hawataki kuelewa, sasa mie nifanyeje
Mara ya kwanza kula demu ilikusje mkuu
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo sababu kubwa ya kuacha upadre ni kiu yako yakutaka kufanya zinaa + uasherati
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
Simu yako inatumia Btn ?Asante kwa umakini wako.
Typing error. Nilikusudia kuandika 2015.
Button ya 2 na 5 zipo karibu sana (juu nyingine kwa chini yake)
Bashite huyo
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] naona umeamua kumkumbushia moja ya post zake,huyu atakua kweli alikua father,ndiyo species zakina PUNYE(marehemu),hawakosagi hawa seminari... na Chechetu(Kasunga).Principle tano za kuzingatia napopiga punyeto usiku..
Moja ya.post zako
Sent from my KIW-L21 using JamiiForums mobile app